Serikali ya kikoloni ilikuwa occupation na walitumia Dola, Vitisho na ubabe kutwaa madaraka lakini walijua siku ikifika wameshindwa watarudi makwao.
Hawa wakoloni weusi ni kama hawatambui kuwa kwao ni kwetu! Hawana pakwenda! Ila kuondoka madarakani haikwepeki
#TutaelewanaTu. ~ Maria Tsehai Sarungi.
Tukubali Tukatae huyu dada ni Bright na ni Next Level kwa Watanzania walio wengi. Vichwa kama hivi huwa havitakiwi na watawala hasa wa ki Afrika.