Marekani yaufuta mradi wa tanzania NCO development

Marekani yaufuta mradi wa tanzania NCO development

political monger senior

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
1,873
Reaction score
6,136
Serikali ya Marekani imeufuta mradi wa Tanzania NCO Development ambao ulikuwa na thamani ya dola million 3.1

Mradi huo ambao ulikuwa ni mradi wa Marekani kutoa mafunzo ya kijeshi kwa wanajeshi wa Tanzania wenye vyeo vya chini ( Non officers) , Marekani imefikia hatua hiyo ya kusitisha mradi huo kwa madai kuwa mradi huo wa mafunzo haujakidhi viwango wa ufanisi na kwamba Marekani haijaridhishwa na matokeo ya mradi huo ambao ni sehemu ya ushirikiano wa kijeshi na kati ya Marekani na Tanzania

Sio Tanzania pekee iliyokumbwa na adha hii ya kusitishwa kwa miradi yake na Marekani kwani wizara ya mambo ya nje ya Marekani inafanya upembuzi wa miradi ya nje ambayo haileti ufanisi kwa Marekani pamoja na kuokoa kodi ya raia wa Marekani

Hadi kufikia leo miradi 108 imesitishwa kwenye nchi mbalimbali duniani na kupelekea Marekani kukomboa kiasi cha dola billion 5.8
 

Attachments

  • 1760169272157.jpg
    1760169272157.jpg
    42.9 KB · Views: 12
  • 1760169276231.jpg
    1760169276231.jpg
    112.8 KB · Views: 13
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa wao na mali zao tupo nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Back
Top Bottom