Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Muda si muda hizo sialaha za marekani zitaanza kudungua hizo ndege za mrusi na za asad,jaribu kurejea afghanstan-talibani walipopewa [FONT=arial, sans-serif]STINGER (SAM) [/FONT]hali ilikuwaje kwa Mrusi,upepo waweza badilika muda wowoteRussia ianze kutungua hivyo vindege vya US vinavyotumika kuwapa waasi silaha.
Muda si muda hizo sialaha za marekani zitaanza kudungua hizo ndege za mrusi na za asad,jaribu kurejea afghanstan-talibani walipopewa [FONT=arial, sans-serif]STINGER (SAM) [/FONT]hali ilikuwaje kwa Mrusi,upepo waweza badilika muda wowote
sijafananisha urusi na iran maana hazifanani kwa kila kitu-zaid ya kuwa marafiki-kwenye swala la know-how ya makombora nakataa-ICBM za US zipo safi,kuliko za rusia,US wana trident 2 with more MIRV kuliko nchi nyingne,russia wana ICBM zenye paylod kubwa kuliko wengine-US wana ICBM zenye accurace nzuri kuliko wenzao.all in all kama stinger zilivobadili hali Afghanstan,hizi anti tank missile wanazopewa huko syria na wakipewa SAM hali itabadilika tu,lazima wengine wfanye retreatHivi wewe unadhani urusi ni sawa na iran? Ile ni super power na urusi ndio wataalam wa teknolojia zote za makombora ikiwemo ile ya makombora yanayoruka kutoka bara moja hadi lingine.
Kule ukraine marekani ilishanyang'anywa koloni lake na urusi, mbona hajapeleka troops kuisaidia ukraine?
Naunga mkono America. IS nao ni binadamu? Jamani iweni na haya!