samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,478
- 24,262
Duniani kote kunapotokea wasiwasi katika nchi ningine kinachofanyika ni kuondoa raia wake na siyo kupeleka jeshi, usitake kutudanganya
Unaondoaje raia wako mahali penye machafuko au risasi zinapolindima bila kupeleka wajeda?? Genocide ya Rwanda Ufaransa alituma jeshi kuokoa raia wake, na ni kawaida ya nchi zote zilizoendelea..