Sawa, hivi akiondoa madikteata wawili wa afrika unaweza kukuta DRC wanapata amani ya kudumuAliingia obama mtu mwenye asili ya afrika Ghadafi akauawa.
Ameingia huyu tegemea makubwa na magumu yanakuja. Mchawi mpe mwanao akulelee end of story.
Na kwakuwa bandari yetu inahudumia na nchi za jirani tunakataa kupitisha mzigo wowote kutoka Marekani.Asije akajiroga akatujaribu hapa kwetu Tanzania. JPM hana utani. Narudia tena: JPM hana utani!
Naona Obama na Hilary Clinton wapo madarakani kwa jina la Biden.
We jamaa umekariri maneno ya mwalimu wa kemia.Uelewa wako mdogo. Hujui siasa za marekani ni bora unyamaze tu. Yani mweusi kuchaguliwa ndo unaona unlongozi wa marekani unapenda watu weusi. Hizo ni game wanaplay. Mzungu hajawahi kukupenda. Toka kwenye huo ujinga
Muulize Obama miak 8 alifanya nini kwa watu weusi tofauti na teuzi??..Nigga knows nothing msamehe tuUelewa wako mdogo. Hujui siasa za marekani ni bora unyamaze tu. Yani mweusi kuchaguliwa ndo unaona unlongozi wa marekani unapenda watu weusi. Hizo ni game wanaplay. Mzungu hajawahi kukupenda. Toka kwenye huo ujinga
Yani hiyo kombat ya jeshi la USA. One day nitavaa tu na nyota za kutoshaHiyo ni suti ya officers. Halaf ni army general. Sio navy
Mkuu sina degree mimi darasa la saba tu ..nataka nizamie usa kupitia Mexico (Mehico) nikifika huko najichangaya tu kwenye kambi yeyote ya jeshi nawalilia hadi wanikubalie kuingia jeshi.Badili uraia. Hakikisha una degree kabisa before huja apply.
33 tuNenda wakulipe dola 33 kwa saa ukatumikie Iraq
unadhani lile ni jeshi la washkaji. man bila college degree huendi mahali.Mkuu sina degree mimi darasa la saba tu ..nataka nizamie usa kupitia Mexico (Mehico) nikifika huko najichangaya tu kwenye kambi yeyote ya jeshi nawalilia hadi wanikubalie kuingia jeshi.
Baada ya hapo nitakuwa nimevaa kombat yao ..nipe huu mwaka tu ..mwakani naleta mrejesho
Mitano tena
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Unaakili sana mkuu.Labda anamplipa fadhila Obama
Waziri wa mambo ya njeHivi Collin Powel alikuwaga nani vile
Dah... Kumbe QAnon mpo hata huku Tandale !Naanza kuamini kuwa Trump aliibiwa kura..na huenda Democratics wana agenda ya siri ya kuiangamiza hii dunia
Inawezekana.....uwe tu tayar kujiunga nao na kupitia mafunzoNatamani siku moja nivae hiyo combat #U.S NAVY
Dua la kukuObama sitasahau alichomfanyia Gadafi 😡 na yeye kitamkuta tu.
Mhusika mkuu alikuwa Mfaransa, Obama na wengineo waliingia kama washiriki wa NATO tukumbuke mpaka Quatar ilikuwepo.Obama sitasahau alichomfanyia Gadafina yeye kitamkuta tu.
Wewe ni Mmoja kati ya waafrika msiojitambua na hamuna imani wala huruma,,,Gadafi alijenga mahusiano mazuri na nchi za afrika na kutufanyia mambo makubwa na yakheri kama vile nyumba za ibada n.k. wewe kama nani umkosoe!!! Unajua baadhi yenu mnamatatizo sana, mnamchukia mtu kutokana na dini yake na uarabu wake, na ndicho kilichopelekea ninyi mfurahie na kupiga vigelegele kifo chake dhidi ya huyo kafiri/ndugu yako obama laanatullah alaihi.
Huyo ni ndugu yetu haswaa kuliko hata wewe usiempenda na huyo ndugu yako/kafiri obama na mashoga wenzie.
Waziri wa mambo ya nje