Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,267
- 4,715
Sawa, hivi akiondoa madikteata wawili wa afrika unaweza kukuta DRC wanapata amani ya kudumuAliingia obama mtu mwenye asili ya afrika Ghadafi akauawa.
Ameingia huyu tegemea makubwa na magumu yanakuja. Mchawi mpe mwanao akulelee end of story.