ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,219
Hiyo muulize muandika thread mkuu, mimi nimejibu nilichoulizwa, umechanganya mimi ni mchangiaji tuuLete link ya habar ya juu achana na hii.... Tu Nataka hiyo ya wamerekani kukir iran ananguvu... Acha kurukaruka kama mahindi kwenye moto