DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,305
- 2,719
hao waturuki kwanini wasiseme aliye husika hapo ni mrusi? kwasababu mrusi ndio walikua na ugomvi naye. kwasababu uturuki alilipua ndege ya urusi na
putin alisema ile gharama ya ndege watakuja kuilipia kwamna yoyote ile unaweza ukute hizo ndio gharama zake. za kumchokoza mbabe.
lakini hapo kwa mmarekani unaweza ukute wanamuonea kwasababu alikua hana ugomvi naye.
Wabongo mnajua ku-make maneno sio mchezo! Uturuki alishamlipa tayari puttin, Puttin ameshazipokea hizo pesa na ameshamsamehe tayari!
Hivyo US kilaza anahusika %100 Percent utake usitake, na usipende kuropoka kama hao wenzako