Marekani yaiwekea vikwazo China

Marekani yaiwekea vikwazo China

BRAIN BOX

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2021
Posts
391
Reaction score
336
Marekani imetangaza vikwazo vipya dhidi ya maafsaa wawili wa China kwa kile inachodai ni ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya waislam wa Uyghur, Xinjiang. Marekani ilishirikiana na Umoja wa Ulaya, Canada na Uingereza kwenye vikwazo ivyo.

Vikwazo ivyo viliwalenga Wang Juzheng na Chen Mingguo ambao n viongozi wakubwa wa chama cha kikomunisti cha China.

source: CGTN
 
Habari kama hiyo yenye majina hayo bila Ku paste ishu kweli kuiandika
 
Back
Top Bottom