Tetesi: Marekani yafanya mazoezi Korea kusini hali ya wasiwasi imetanda

Kumbe mazoezi yanafanyikia kusini hiyo B_1B itie pua mpakani ijifanye imesahau mpaka new York iwe tunaenda na kupeleka watoto kujifunza historia
 
Hayo "mazoezi" hayana jipya! Hayajaanza leo na yataendelea! Lakini jipya ni kiduku kuwa na makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia na kupiga sehemu yoyote marekani!
 
When u want to know usa deeply their true colour ask libia people
 
Hayo "mazoezi" hayana jipya! Hayajaanza leo na yataendelea! Lakini jipya ni kiduku kuwa na makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia na kupiga sehemu yoyote marekani!
du kweli mkuu
 
Umri umekusukuma uandike hivi
 
Anaharibu vipi amani ya dunia??
Anazuia waislamu wasitumie upanga kueneza dini yao na hivyo kusababisha wasikitike sababu ahadi za kitabu chao na maamrisho ya kuneza dini kwa upanga yanaonekana kushindwa
 
kwangu mimi nasali usiku na mchana Kim aendelee kuporomosha makombora yake. Siwezi kuwaombea wamarekani na washirika wake kwa sababu ni wanafiki na hao ndo chanzo cha machafuko katika uso wa dunia hii. Longlive Kim Maste of the Jungle
Naamini utakuwa made ina arabuni,au mwili made in afrika akili na fikra made in utumwani arabuni
 
Kama Kim kweli anaweza kupiga mtu basi ujue huo ndo utakuwa mwisho wa ulimwengu.Ka inchi kadogo kama wilaya ya Bagamoyo kupambana na nchi iliosheheni zana za kisasa za maangamizi ni kutaka ka inchi hako kukaondoa kwenye ramani au uso wa dunia.Zana zote alizonazo Korea ni zana zilizobuniwa na kutumiwa na Marekani muda mrefu uliopita.Kelele na bange za Kim sio kigezo cha ujemadari.
 
Umri umekusukuma uandike hivi
Naona hata wewe utakuwa mhanga wa bange kama Kim.Madude yote ya kivita alionayo Korea Kaskazini ni zana zilizobuniwa na kutumiwa na Marekani tangu 1947 katika kuhitimisha vita ya pili ya dunia.Wakati huo Korea hata kuvaa kaptura alikuwa hajui.Korea ambae amezingirwa na Marekani pande zote tena akina umbali maili sifuri amwache Korea anamwangalia tu arushe madude yake ya masafa marefu kwenda kuangamiza huko mbali kabisa.Mimi naona upeo wa watu wengine wa kufikiri hua unaambatana na kutumia makamasi badala ya ubongo.Nchi ilivyo ndogo kama wilaya ya Bagamoyo inaweza kutoweka kwenye uso wa ramani duniani ndani ya siku moja tu.
 
Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.
Acha ugoro mkuu haukufai....ustaarabu wa Marekani Ni upi kuuwa watu Iraq Afghanistan Syria Libya na kwingineko, ndo ustaarabu na Kim amemuuwa raia wa nchi gani!!!?
 
Imeisoma vzr ramani ya dunia mkuu eti NK Ni Kama bagamoyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…