Marekani wanaiogopa Iran?

Iran ni habari nyingine. Wakati wa mapinduzi ya mwaka 1979 iliwashikilia mateka American diplomats 66 ingawa kwa misingi ya kibinadamu waliwaachia Wanawake na mateka weusi na ku na mateka 52 ambao walishikiliwa kwa siku 444. Raisi Jimmy Carter aliandaa rescue operation kuwakomboa lakini hakufanikiwa. Alipochaguliwa Ronald Reagan kwa msaada wa Algeria Iran iliwaachia baada ya kupewa pesa nyingi.

Na hii ya juzi juzi itakua ni yale yale ya 1981. Bila pesa Iran haiwezi kuwaachia wafungwa wa kimarekani
Mateka wa kimarekani wakiwa chini ulinzi wa wanafunzi wa chuo kikuu.Wanajeshi wa kimarekani wakiwa chini ya ulinzi wa jeshi la wanamaji wa Iran.
 
Haya mambo hayako simple sana..raia weng wa marekan wanaonaswa iran huwa kwanza ni iranian-american na weng huwa wanafanya espionage tehran,ndio maana ayatoullah alishawah hoji watu hawajiuliz kwann marekan hufanya juu chini na kutumis njia yeyote ile ili wamarekan wanaokamtwa iran warudishwe marekan kwa gharama yeyote ile?bila shaka hao wafungwa ni asset muhim sn kwa marekan..kitu kimoja hawa marekan huwa wako serious sn na issue yenye interest kwao na km upole unahitajika kusecure hio intetest watakua tu wapole...
 
Wewe unawaelewa wamarekani. Marekani wameamua kuwatumia Iranian-American and British-American kwa kuwafanyia ujasusi ingawa kila kukicha wanakamatwa.
 



What makes you thin nashabikia vita?
hii ni thread tu ya kuuliza ili kujua nini kinaendelea
 
What makes you thin nashabikia vita?
hii ni thread tu ya kuuliza ili kujua nini kinaendelea

Can't you see that your question is very paradoxical and full of rhetoric?
Hate to plaster words in your mouth but unapouliza swali as a response out of the obvious behaviour of a certain thing it means you wonder why the obvious didn't happen.

The obvious is American big stick diplomacy, the non-obvious is America's Appeasement Policy towards Iran. Your response is why America did corner Iran as it does to other states.

The above casual observation has made me draw a circumstantial inference that your post condones an awful spectre of war.
 

Duh kumbe..kama ni ivo bora wakikamatwa watupwe straight baharini au kunyongwa kabisa
 
Donald hapewi nchi hata akishinda
establishment inachagua mtu kabla na wanahakikisha anakuwa Rais
leo magazeti ya Dallas ambako ni Republican strong holds...yamemu endorse Hilary
Chuo cha kura ambach watu wanadhani kitakuwa dhidi ya Trump, ndicho hicho kitakachompa ushindi
 
Hii story goes back in 1979 wakati wa Iranian Revolution, wenyewe wanasema ni refund for US weapons ambayo Iran walipurchased but the American never delivered.
Marekani hana tabia ya kurudi nyuma hata siku. Hapa amepima kaona ubabe hautazaa matunda.
 
hahahah acha kuleta hadithi za kutunga wewe..not American money na some zililipwa na Iranians kununua silaha ambazo hazikuwa delivered miaka ya zamani sana kwa ufupi kinachofanyika ni kurudisha pesa za iran
 
hahahah acha kuleta hadithi za kutunga wewe..not American money na some zililipwa na Iranians kununua silaha ambazo hazikuwa delivered miaka ya zamani sana kwa ufupi kinachofanyika ni kurudisha pesa za iran
USA baby
 
Marekani hana tabia ya kurudi nyuma hata siku. Hapa amepima kaona ubabe hautazaa matunda.
is just a matter of principle hakuna ubabe hapo,ndio maana dunia nzima mmejaa US treasury mnagombania kununua madeni maana mnajua mtalipwa tuu no matter what, credit trust ni kitu muhimu sana na US hawezi kupoteza kwa pesa ndogo kama hizo za Iran
 
Ni propaganda za kampeni za uchaguzi tu hizo hakuna ransom hapo. Hizo hela ni haki ya Iran ila Marekani walizitumia kupata watu wao.
 
Kazi maalumu sio maarumu.
 
is just a matter of principle hakuna ubabe hapo,ndio maana dunia nzima mmejaa US treasury mnagombania kununua madeni maana mnajua mtalipwa tuu no matter what, credit trust ni kitu muhimu sana na US hawezi kupoteza kwa pesa ndogo kama hizo za Iran

Yeah, dunia nzima including Kagame and Rwanda.
 
Donald hapewi nchi hata akishinda
establishment inachagua mtu kabla na wanahakikisha anakuwa Rais
leo magazeti ya Dallas ambako ni Republican strong holds...yamemu endorse Hilary
Donald hoyeeeeee
 
Donald hapewi nchi hata akishinda
establishment inachagua mtu kabla na wanahakikisha anakuwa Rais
leo magazeti ya Dallas ambako ni Republican strong holds...yamemu endorse Hilary

Ooouch!!

What happened..?

😀

So much for that so called 'establishment'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…