Uwe unaona aibu kwa upuuzi wako wa kuposti huu UJINGA huku moja kwa moja UNAONYESHA KUFURAHISHWA NA HUU UJINGA WENU...sioni sababu ya HIZI BALOZI kutoa alert as if haya maandamano ni VITA inayotarajiwa kufanyika....Unless otherwise nao wanahusika kwenye huu UPUUZI na wanajua nini kimepangwa kufanyika kwenye hayo maandamano....na hiki wanachokifanya ni KUHAMASISHA MAANDAMANO.....
UKWELI NI KWAMBA HAWA WAZUNGU hajafurahishwa na JINSI MAGUFULI anavyo simamia RASILIMALI ZETU....na hii inajidhihirisha kwa sapoti wanaitoa kwa CHADEMA kuhakikisha nchi hii haitawaliki....MFANO MDOGO TU ni hawa WAZUNGU LEO HII NDIO WANAO MTIBU TUNDU LISSU kupitias UBALOZI WA UJERUMANI.....na ni hawa hawa ndio wanao mpa kibuli MANGE KIMAMBI maana she has alot of CONFIDENCE mpaka mtu unajiuliza HUYU MWANAMKE anapata wapi huu UJASIRI???kumbe ni hawa wazungu wanainjia hili kupitia MANGE NA KINA MBOWE....na ndio maana juzi juzi walienda UMOJA WA ULAYA KUFANYYIA KIKAO KWENYE UKUMBI WAO.....Niseme tu ukweli kwenye haya maandamano mtaoingia barabarani nyie ni wachache sana kuliko sisi tuliomchagua MAGUFULI....tutasimama nae pamoja kwa lolote lile......na hata kae INGIA barabarani KIPIGO CHAKE NAOMBA KIWE CHA UKWELI IPASAVYO......hatuwezi kukubali NYIE MTUMIKE KUTUCHAFULIA NCHI YETU KIZEMBE NAMNA HII....
MWENYEZI MUNGU YUPO UPANDE WA MAGUFULI kamwe hawezi ruhusu HILI JIANAMKE CHAFU kama MANGE liangamize watu wasio kuwa na hatia kabsa.....HILI LINGEWEZEKANA KWA MWANAMKE MWENYE KINYWA CHA HESHIMA ILA SI HUYU SHETANI.....
Lisu kutibiwa ni shida tena??♂️♂️