sonzawileme
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 495
- 277
Mambo ni fire
Tatizo sio kutibiwa. Hujamuelewa. mtoa mada anatakq wazungu watangaze hadharani wao ndio wanaomtibiawe ni zaidi ya shetani ina maana Tundu kutibiwa we unachukia,hivi angekuwa baba yako au mama yako ndio katokewa na hayo na anatibiwa ungeandika hivi,unaifikiriaje familia ya TUNDU acha mbli siasa hivi unajua kuna watu walikuwa nyuma yake wanamtegemea yaani wewe kama ni viongozi wa mashetani una cheo cha juu saana na ninachokwambia haitachukua muda uliyoyafurahia kwa mwenzio kuumizwa na kuonyesha chuki eti anasaidiwa kutibiwa ww hupendi jiandae utayasikia kwa ndugu zako wa karibu saaana ndio uone umeandika ushetani sana la sivyo uombe Msamaha kwa MUNGU,ila ukiona we jeuri acha subiri uone malipo yake
hiyo ni heshima huku nimepiga goti we si wa koromije huko magoti lazimaAhahahahahahahaaa kishikamooo ni kivingine
Nyinyi mnaobweka humu JF ndo mtafanya sasa ID feki ziishe na tusajiliwe kama line za simu. Matendo yenu ndo yatafanya sheria zitungwe kali zaidi
Tar 26 ni sikukuu hakuna kazi tutaandamana tuuuHakuna atakae acha kazi zake aingie barabarani kuzurura, hapo kuna watu watakao umbuka kweli kweli hyo kesho kutwa
Mjinga utahadithia weweMtahadithia
Hakuna lolote hapo mtu ulipo una shida zakounaenda kuongeza magunia ya matatizo unafikiri nani wa kukusaidia? Bora hata mtu angeniambia braza tukaandamane benki tupate mikopo ningeelewa,sio kwa ujuha huu wa Kimambi
Siyo mwisho wa Mage tu ni mwisho wa UFIPA Mbowe asipo badilisha mfumo wa siasa ndani ya chama chake cdm ndiyo tunaenda kushuhudia kinakufa kifo cha mendeNahis ndo utakuwa mwisho wa mange
Kuwa maskini pia sio kuwa mpumbavu mkuuMasikini hana cha kupoteza ..
Hahaha! Shetani ni huyo aliyeiba 1.5 trillion,lifisadi nguli, wala Mungu hawezi kuwa upande wa Jizi,Lijambazi, Lifisadi nyangumi. 26/04/18...MAANDAMANO YA AMANI.Uwe unaona aibu kwa upuuzi wako wa kuposti huu UJINGA huku moja kwa moja UNAONYESHA KUFURAHISHWA NA HUU UJINGA WENU...sioni sababu ya HIZI BALOZI kutoa alert as if haya maandamano ni VITA inayotarajiwa kufanyika....Unless otherwise nao wanahusika kwenye huu UPUUZI na wanajua nini kimepangwa kufanyika kwenye hayo maandamano....na hiki wanachokifanya ni KUHAMASISHA MAANDAMANO.....
UKWELI NI KWAMBA HAWA WAZUNGU hajafurahishwa na JINSI MAGUFULI anavyo simamia RASILIMALI ZETU....na hii inajidhihirisha kwa sapoti wanaitoa kwa CHADEMA kuhakikisha nchi hii haitawaliki....MFANO MDOGO TU ni hawa WAZUNGU LEO HII NDIO WANAO MTIBU TUNDU LISSU kupitias UBALOZI WA UJERUMANI.....na ni hawa hawa ndio wanao mpa kibuli MANGE KIMAMBI maana she has alot of CONFIDENCE mpaka mtu unajiuliza HUYU MWANAMKE anapata wapi huu UJASIRI???kumbe ni hawa wazungu wanainjia hili kupitia MANGE NA KINA MBOWE....na ndio maana juzi juzi walienda UMOJA WA ULAYA KUFANYYIA KIKAO KWENYE UKUMBI WAO.....Niseme tu ukweli kwenye haya maandamano mtaoingia barabarani nyie ni wachache sana kuliko sisi tuliomchagua MAGUFULI....tutasimama nae pamoja kwa lolote lile......na hata kae INGIA barabarani KIPIGO CHAKE NAOMBA KIWE CHA UKWELI IPASAVYO......hatuwezi kukubali NYIE MTUMIKE KUTUCHAFULIA NCHI YETU KIZEMBE NAMNA HII....
MWENYEZI MUNGU YUPO UPANDE WA MAGUFULI kamwe hawezi ruhusu HILI JIANAMKE CHAFU kama MANGE liangamize watu wasio kuwa na hatia kabsa.....HILI LINGEWEZEKANA KWA MWANAMKE MWENYE KINYWA CHA HESHIMA ILA SI HUYU SHETANI.....
Hahaha! Shetani ni huyo aliyeiba 1.5 trillion,lifisadi nguli, wala Mungu hawezi kuwa upande wa Jizi,Lijambazi, Lifisadi nyangumi. 26/04/18...MAANDAMANO YA AMANI.
1.KATIBA MPYA
2.TUME HURU NAYA HAKI YA UCHAGUZI.
3.UHURU WA HABARI NA VYOMBO VYA HABARI
4.BUNGE LIVE
huyu unayesema Mungu yuko nae...sijui Mungu yupi hyo, mungu wa wasiojulikana au??
Hivi kuna mtu mnafiki hii dunia kama huyu
Sema wakoloni wanafuatilia umewasikia wachina, wajapani, wahindi,waarabu,wakorea wakitoa matamko? "unaona raha kibaraka wa wakoloni wewe?Marekani na Uingereza wanalifuatilia hili kwa karibu mambo ni moto
Wakileta misaada mnaipokea, mambo 26/4 ni fire fireSema wakoloni wanafuatilia umewasikia wachina, wajapani, wahindi,waarabu,wakorea wakitoa matamko? "unaona raha kibaraka wa wakoloni wewe?
Usisite kuitangulize familia yako mbele front line... Mkutane na vijana wa Kamanda SirroTar 26 ni sikukuu hakuna kazi tutaandamana tuuu
Waandamanaji watarajiwa maandamano ni mazuri mno nawasihi msisahau kuandamana na familia zenu maana wahenga wanasema "kizuri kula na nduguyo"Usisite kuitangulize familia yako mbele front line... Mkutane na vijana wa Kamanda Sirro
The Hague inawasuburi.mpaka marekani kasema watu wakae mbali, siku hiyo nitakua nyuma ya TV nikiangalia. nikiangali vijana wa ufipa wakila kibano