Marekani na Drone Mpya

Muda si mrefu utasikia waziri wa mambo ya nje wa US yupo ufaransa na kuomba kolabo kwenda kijeshi kule Iran na wairan nao kama kawa Urusi mtetezi na mwokozi wa wanyonge na hapo WWIII inavutiwa kasi
 
Elimu nzuri ila sehemu ya ku apply ndo shida.shukran
 
Hana silaha yoyote wala uwezo huyo
Wanamtekenya makusudi ili apaze sauti ainekane tishi wapate sababu ya kumng'okola ng'oko
Angeshinda ile battle ya 1980.
Imperialists hawamwezi muhajemi ukatae ukubali.
 
Sisi tunatafuta "Ushindi wa Kishindo" kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa kwani ndipo akili yetu ilipofikia. We shall forever die with a slave mentality. Very saddening indeed.

Na wengine sisi tunashinda mitandaoni kubeza kila kitu cha serikali yetu....
 
Na wengine sisi tunashinda mitandaoni kubeza kila kitu cha serikali yetu....
Watu wanakwazika sana ndio maana yake ila wengine "Beneficiaries" hawawezi kuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…