MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,213
- 941
Sawa, nimekuelewa, siku nyingine ili kuondoa maelewano mabaya umkoti unaemjibu mkuu. Ahsante kwa maelezo.nilikuwa nawajibu watu waliouliza kwa nini waandishi wa habari hawamuongelei..
ndio nikawaeleza sabab ya kutomjua..
nimetoa info just as basketball fan kuelekeza watu sio kama namkashifu