Marekani lazima akae, vita hakuna tena

Kerosine Bal

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
247
Reaction score
231
Sasa vita hakuna tena; baada ya Putin kuonesha wazi yupo upande wa Mapanki lazima Trump arudishe jeshi lake....

WATCH: Russia claims it can WIPE OUT US Navy with ‘ELECTRONIC bomb’ amid WW3 fears

express.co.uk

Apr 19, 2017 4:24 AM

RUSSIA has claimed it can disable the entire US Navy using the latest “electronic warfare” technology - as the world braces for conflict.

A recently released Russian news report claims Vladimir Putin’s armed forces can use electronic signal jamming to render missiles, ships and planes completely useless.

In the report, the newsreader said: “Today, our Russian Electronic Warfare troops can detect and neutralise any target from a ship’s system and a radar, to a satellite.

[http://cdn]

The shocking video shows the potential power of Putin's military

“You don’t need to have expensive weapons to win – powerful radio-electronic jamming is enough.”

The video clip even quotes top US General Frank Gorenc, who said: “Russian electronic weapons completely paralyse the functioning of American electronic equipment installed on missiles, aircraft and ships.”

[http://cdn]

The video shows the 'invisibility cap' which prevents Russian forces from being detected by enemies

Putin has sent ships to shadow a US fleet, which has been sent to threaten North Korea.

The video describes it as an “invisibility cap from the enemy’s radar” as the report shows how the Russians have developed electronic technology to prevent them from seen by US planes.

The electronic warfare can destroy the American equipment installed on missiles, aircraft and ships.

The video clip claims radio-electronic jamming is better than any other “expensive equipment” needed to win.

Russia’s boasting comes amid rising tensions between Trump, Putin and Kim Jong-Un.

Experts have warned North Korea will have up to 60 nuclear weapons in three years unless urgent action is taken.

Report a problem.
 

Attachments

  • IMG-20170419-WA0007.jpg
    43.3 KB · Views: 123
Kwanza kwe picha tatu zilizopo kwenye post yako... picha ya kwanza ni uongo. Hiyo ndege ipo kwenye series ya Agents of shields, na in reality it doesnt exist.
Hizo picha mbili za chini ndio za kweli.. ni makombora aina ya S300.
 
jamaa kaniacha hoi wala hastuki kabisa, mikwala yote jamaa anawachora tu warushe japo jiwe
..[emoji2] [emoji3] ni Kweli Akaja,hapo nnachokiona Mmarekani ametegwa anything atakachofanya ajue Mrusi yuko against why..asijiulize yakule Syria hafi leo kashindwa mumtoa Assad
 
Trump ni lazima ajue ni Korea kaskazini pekee ndio utakuwa na full access ya kuingia nchi mbili ambazo ni Russia na China nchi zote ndizo zenye mpaka na Korea Kaskazini so kitendo cha US kuingia North Korea na kuikalia kijeshi inamaana anakua anaichungulia Russia wakiwa wametenganishwa na mto tu na pia anakua anaichungulia China wakiwa wametenganishwa na mto tu

So kwa Russia ni ngumu sana kunywa vodka Moscow wakati adui anaweza kuingia Russia kwa kuogelea tu

Pia kwa China ni vigumu kunywa Xinjiang Black Beer Beijing huku adui anaweza kuingia China kwa kuogelea Marekani anatakiwa kujua ni Lazima Russia na China kushiriki vita hvyo kama vikitokea aidha kwa kificho au kwa wazi
Na sehemu pekee ya Russia na China kutest silaha zao mpya dhidi ya silaha za US ni kwenye vita hvyo kwani China na Russia wanatengeneza silaha kwa ajili ya kushindana na US sasa unapotengeneza kitu ni lazima ukifanyie test kwa mshindani wako ambae ni US
Niliwai kusema na narudia tena ni vyepesi sana US kurusha makombora Syria kuliko kurusha mshale North Korea au Iran kutokana na sababu za Geographical
 
Upo vizuri, na bado mataifa mengine yanaangalia upepo unakwendaje. Nk atapata wafuasi wengi tuu.
 
Huuu ni uwong wa kiwango cha rami....
 
Putin Atawadangany mpaka mwisho juzi tu kawalisha upupu Eti ana bomu la kuzamisha France na. UK ...sijuw Russia Nuks zake anatestia galaxy gani
 
Taarifa ya BBC Swahili ya leo (kama inavyoonekana pichani) imeandika habari za ki uchunguzi juu ya meli ambazo Trump amesema zinakwenda Korea kaskazini kushambulia na dunia ikatambua vita imeiva haswa ukizingatia ilisheheni makomando, madege pamoja na mabomu mazito ya masafa marefu na mafupi meli hiyo haikwenda huko bali ilikuwa ni vitisho tu.

Tujikumbushe; America ilishambulia sehemu tofauti duniani ili kumuathiri Kim kisaikolojia apate hofu na kukubali mazungumzo, hali itakayopelekea kuondolewa uwezo wa silaha za Nyuklia na kuangamiza vinu vyake.

Moja ya tisho kubwa ni Amerika kupiga bomu lake la kisasa kabisa na lenye jina la 'mama wa mabomu yote duniani' ambalo alipiga nchi nyingine kwa sababu nyingine lakini wachunguzi wa mambo walisema ile ni salam kwa Kim Pia Us alishambulia Syria pamoja na Somalia na kote huko aliangamiza roho za watu.

Kitendo cha Kim kuimarika kijeshi haswa kwa silaha za nyuklia kinaiumiza kichwa sana Marekani kwa kile kinachoitwa kutishia usalama wake, ila Trump jambo hilo linamuumiza zaidi Pamoja na vitisho vyote Kim hakutishika kabisa na ndiyo kwanza amejipanga kivita na kusema atazidi kuyajaribu makombora yake mapya kila wiki Hakuna vita tena na vitisho havikufanya kazi na sasa Amerika anaelekea kwengine Kikwazo zaidi ni kwa kuwa Us hazijui vema silaha za North Korea kuhusu uwezo wake na hata namna ambavyo atazikabili, wanachojua ni kile Kim atakachokisema mwenyewe pale anapozindua kombora, zaidi ya hapo hawana taarifa zozote za kiuchunguzi japokuwa wanahisi anayo mabomu elfu moja ya yenye uwezo wa kufika bara lolote duniani ambayo yanaweza kufika moja kwa moja Marekani na kushambulia Ndugu zangu, Us hapigani na nchi asiyoijua vema silaha zake na ndio maana anaremba tangu majuzi kuhofia usalama wake Wangemkabili Kim miaka mingi iliyopita lakini sasa ameshapiga hatua wamechelewa, kitendo cha kuufyata ni ushindi na furaha kwa bwana mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…