Marekani kutuma wanajeshi na vifaru Poland

Marekani kutuma wanajeshi na vifaru Poland

Nyie mpeni kichwa Poland wakati
Russia tayari kashaweka viazi vya
Nyuklia mpakani na poland tuombe tu wayamalize kiustaarabu yasije kutokea ya Georgia
 
The last time I checked, rais wa Georgea alijazwa ujinga lakini mwishowe akaishia kutafuna tai bila kinywaji.
 
Chezea Putin ww!!
Yule ni mwanaume kweli, amekuja kulipiza kisasi angusho la Soviet Union (USSR) kupitia Mamluki wa USA.
 
NI WAZUNGU HAO HAO WANAJUANA MRADI DOLLAR IZUNGUKE. ...TUMESHASHTUKA
 
Hiv Putin mnamchukuliaje? UE mmoja keshachomoka ambaye ni mwingereza wengine wanatapatapa mpaka ss nao wanataka itisha referundum, Syria kamaliza mchezo kuime, marekan kama kwel ama si kwel kawavuruga ktk uchaguz wao, kinachobak ni kuhaha tu kwa kuwa hawajui ana mpango gan kesho, isitoshe siri zote za america upto 2060 may be anazo kupitia kijana wake wa kirusi Snoden, wanachotakiwa kuanza kuweka mipango mipya na wafute yote waliyokwisha panga
Kubwa zaidi lingine walilofeli ni biological weapon yao ya Ebola alipoingilia kati na kuimaliza kabisa, naumia sana na hiz biological weapons za americans UKIMWI, ZIKA ndo zimebaki, help us Putin with this also, kuna watu wanashangalia america bila kumjua vizur
 
Back
Top Bottom