Marekani kuinyamazisha Urusi?

Belarus Ni rafiki wa Urusi na mpaka Sasa Kuna jeshi la Urusi pale Sasa marekani atawezaje kuingiza jeshi lake pale
Naona Sasa USA ameanza kulaghai ulimwengu
Marekan ana propaganda sana ila man of action anamsubiri ajae aone shughuli ya s 800 ndio atajua hajui na hivyo bindege vyake vilivyo km popo
 
Mkuu nenda kasome tena history pepar II ADVANCE halafu ndio uje na chai zako km sio kahawa iliyokosa ....soma movement ITALIAN UNIFICATION ,SOMA GERMANY UNIFICATION , NA SASA NI ZAMU YA RUSSIA UNIFICATION...

hii habari ya nenda kasome kile ama iki uwa haina maana, weka hapa kile ulichokisoma kwenye hiyo mkataba kwa manufaa ya wengi.
vipi, mleta uzi nae angeliandika tu NENDENI MKASOME IKI NA KILE, tungelikuwa na cha kujadili hapa?.
EBU FANYA UCHAMBUZI WAKO TUPATE DARASA.
 
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.

Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi....
Mkuu umeandika kwa hisia zako tu! Ukitaka kuyaelewa haya mambo usishabikie upande wo wote.
 
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.

Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi...
Kuna hypersonic huko, Marekani vita ambayo nae anaweza kupigwa kwake anaiweza? kazoea hizi proxy wars kajiandaa vizuri kwa sasa kutopigwa kwake. Putin alishamalizana na Xi huko isije katikati ya ngoma china nae akaliamsha Taiwan......mmarekani ataweza kujitetea asiguswe kwake?????
 
Kuna hypersonic huko.........Marekani vita ambayo nae anaweza kupigwa kwake anaiweza? ...............kazoea hizi proxy wars kajiandaa vizuri kwa sasa kutopigwa kwake............Putin alishamalizana na Xi huko isije katikati ya ngoma china nae akaliamsha Taiwan......mmarekani ataweza kujitetea asiguswe kwake?????
Hamna vita za namna hii.
Soma tu historia vizuri za vita za mataifa zilizowahi kutokea.

Kwenye zile miungano za mataifa zilitokeaje, na one thing you've to know HAKUNA VITA YA NCHI KWA NCHI ITAKAYOTOKEA KARNE HII NA ZIJAZO ndio maana watu wanaenda darasani kusoma diplomasia yale makosa ya WWI na WWII hayawezi kujirudia kamwe
 
Hamna vita za namna hii.
Soma tu historia vizuri za vita za mataifa zilizowahi kutokea...
Ubabe kwa zama hizi sio lazima kurushiana risasi, kujua kucheza kete zako tu na ku control narrative ya mambo basi. inawezekana kutorushiana risasi ila narrative ya mambo lazima itabadilika, kinachotokea sasa ni mtu kukerwa na ubabe wa kiboya wa upande fulani.
 
The same to Russians
exactly.. but putin has shown his guts to Nato, since nato is no longer interested with war we are expecting to see many weird things in this period.

after this one, china also would emerge with Hong Kong and Taiwan,surely I'm telling you ni country can stop china to do so.
i pit them as their defender is toothless now😁😁.

REGARDING UKRAINE MATTER.
There is also no moral justification for the united states to fight on behalf of Ukraine.. Ukraine not in NATO.. Ukraine not even in EU.no defence pact with Ukraine and the USA.. I think EU Powers like Germany and France should do better and deescalate tension in Europe
 
Mleta mada, ulianza na title nzuri tu ila baadhi ya masuala katika bandiko lako hayana ufafanuzi mzuri, huku baadhi ya masuala hayo yakikosa uthibitisho wowote!

Mojawapo ya masuala hayo ni hilo suala la kuishambulia Moscow ambalo umeliita ni "lengo kubwa" la Marekani.

Isitoshe, inaonesha kuwa haujamaliza kuandika uzi wako. Hizo habari zinazosambaa Tanzania kwa kasi ni habari gani?
 
Hivi mnafikiri Putin alikuwa hajua kama kifuatacho ni sanctions? Mnafikiri hakujipanga kwa hilo?
Putin alijua vizuri tu kwamba sanctions zitafuata, ndugu Yello Masai. Kwa sababu, hiyo habari kuhusu vikwazo imekwishasemwa miezi kadhaa kabla ya utekelezaji. Kama alijipanga ama hakujipanga, hiyo ni habari nyingine.
 
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.

Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi....
Jambo la kujiuliza kwa nini asiingie Ukraine ambapo atapata moral support, upande wa Magharibi una waukraine wengi ambao watamsapoti na wapoland ila Belarus ambako vikosi vya kirusi vimeweka Kambi Hilo ni debe tupu tu halikosi kutika mmarekani kapuyanga.

Kuipiga Moscow ni ndoto ya alinacha mchana kweupe.

Labda tuone s400, s500 na s550 zitakavyoanza kufanya kazi
 
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.

Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi...
Hivi unamjua Mrusi wewe!?
Ukitaka kujua Russia ni nini tazama mwendo wa Putin.
Anatembea mwendo wakipekee. Kibabe.
Wahuni huita "gusa ni nuke"
 
Back
Top Bottom