Marekani: IMF msiikopeshe IRAN

Marekani: IMF msiikopeshe IRAN

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
665
Reaction score
1,277
Marekani yaikataza IMF kutoa mkopo kwa Iran kukabiliana na COVID-19

Marekani imelizuia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kutoa mkopo wa dharura wa dola bilioni 5 za kimarekani kwa Iran, kutokana na kile ilichosema kuwa Iran itatumia pesa hizo katika shughuli za kijeshi badala ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.

Akizungumzia suala hilo, rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kitendo hicho si haki wala haikubaliki, na ni kitendo cha ubaguzi dhidi ya Iran. Kwenye mkutano wa Baraza la Mawaziri uliofanyika jana, rais Rouhani alisema ikiwa nchi mwanachama wa IMF, Iran inalipa ada yake, na haijawahi kutoa ombi lolote kwa shirika hilo katika miaka 50 iliyopita.

Tarehe 4 mwezi uliopita, IMF ilisema itatoa mkopo wa dola bilioni 50 kwa nchi zenye uwezo mdogo zilizotoa maombi ya msaada, ili kuchangia juhudi za kukabiliana na virusi vya Corona. Benki Kuu ya Iran pia ilitoa ombi la mkopo wa dola bilioni 5 tarehe 12 Machi.
 
Marekani yaikataza IMF kutoa mkopo kwa Iran kukabiliana na COVID-19

Marekani imelizuia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kutoa mkopo wa dharura wa dola bilioni 5 za kimarekani kwa Iran, kutokana na kile ilichosema kuwa Iran itatumia pesa hizo katika shughuli za kijeshi badala ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumzia suala hilo, rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kitendo hicho si haki wala haikubaliki, na ni kitendo cha ubaguzi dhidi ya Iran. Kwenye mkutano wa Baraza la Mawaziri uliofanyika jana, rais Rouhani alisema ikiwa nchi mwanachama wa IMF, Iran inalipa ada yake, na haijawahi kutoa ombi lolote kwa shirika hilo katika miaka 50 iliyopita.
Tarehe 4 mwezi uliopita, IMF ilisema itatoa mkopo wa dola bilioni 50 kwa nchi zenye uwezo mdogo zilizotoa maombi ya msaada, ili kuchangia juhudi za kukabiliana na virusi vya Corona. Benki Kuu ya Iran pia ilitoa ombi la mkopo wa dola bilioni 5 tarehe 12 Machi.
Hahahahahahah Trump

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran kama mwanamke tu ananuna huku kule anakuja kuomba msaada

Haimaanishi na support wanachofanya Wamarekani ila ndio hivyo tena kwa sasa wao ni kama maji tu, Usipoyaoga basi yumkini utayanawia

Mpaka hapo atakapo tokea mbabe mwingine wa Dunia tuanze kumpigia magoti, ndio maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran kama mwanamke tu ananuna huku kule anakuja kuomba msaada

Haimaanishi na support wanachofanya Wamarekani ila ndio hivyo tena kwa sasa wao ni kama maji tu, Usipoyaoga basi yumkini utayanawia

Mpaka hapo atakapo tokea mbabe mwingine wa Dunia tuanze kumpigia magoti, ndio maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka anachangia ada lakini!
 
Acha upimbi basiii, ata marekani anaomba misaada, hio ni haki yao, iambie na nchi yako iombe basi
Iran kama mwanamke tu ananuna huku kule anakuja kuomba msaada

Haimaanishi na support wanachofanya Wamarekani ila ndio hivyo tena kwa sasa wao ni kama maji tu, Usipoyaoga basi yumkini utayanawia

Mpaka hapo atakapo tokea mbabe mwingine wa Dunia tuanze kumpigia magoti, ndio maisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajaomba msaada. Bali anakopa,kumbuka kuwa kila mwanachama wa IMF anyo haki ya kukopa fedha .
Iran kama mwanamke tu ananuna huku kule anakuja kuomba msaada

Haimaanishi na support wanachofanya Wamarekani ila ndio hivyo tena kwa sasa wao ni kama maji tu, Usipoyaoga basi yumkini utayanawia

Mpaka hapo atakapo tokea mbabe mwingine wa Dunia tuanze kumpigia magoti, ndio maisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom