Marehemu!

Marehemu!

JACADUOGO2.

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
930
Reaction score
220
Marehemu alikuwa mtu hodari, mchapa kazi, mzalendo, mpenda watu, mtu makini, mpole, mkarimu, mwenye hekimu na busara, mtiifu, mchangamfu, mtanashati......!!!!!!
 
Marehemu alikuwa mtu hodari, mchapa kazi, mzalendo, mpenda watu, mtu makini, mpole, mkarimu, mwenye hekimu na busara, mtiifu, mchangamfu, mtanashati......!!!!!!

Kweli mkuu,

Hata mie nashindwa kuelewa

Hii ina maanaa kwamba, Tanzania hakuna marehemu ambaye alikuwa na sifa tofauti au kinyume na hizo.....

Sasa kama watu wote wako hivi, wezi, mafisadi, vibaka, wazinzi/washerati, wachovu/wavivu ni akina nani?? Au wanakuwa na sifa hizo ila zinatoweka mara tu baada ya kufa!!
 
Sifa zoote alikuwa nazo lakini alikuwa Jambazi wa kura
 
Na kwa jinsi tulivyo wazito kuelewa na wepesi kusahau hata akifariki mtoto wa miaka miwili tutasema sifa hizo hizo!
 
Ni kawaida kutoa sifa ingawa kwa kweli huwa ni unafiki. kwani hata mtu yule ambaye walikuwa hawaelewani, utamsikia anatoa sifa nzuri. huu ni unafiki
 
Hivi kwa nini marehemu anamwagiwa sifa nyingi na nzuri hata kama alikuwa mtu mbaya?
 
Back
Top Bottom