Gumilapua
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 833
- 565
Naangalia hapa mapambano ya ngumi yanayoendelea lakini maamuzi ya marefa yanaharibu mchezo.
Pambano la Richard na Julius Indongo, mwamuzi kamaliza mchezo prematurely, ili kumpa ushindi Mtanzania na hata pambano la mkenya Kimario na Ibrahim Mafia pia refa amemaliza mchezo na kumpa ushindi Mtanzania.
Hizi mbeleko ndiyo zinawalemaza mabondia wetu na kutegemea kubebwa!
Ngoja nisubirie main bout nione nini kitatokea.
Pambano la Richard na Julius Indongo, mwamuzi kamaliza mchezo prematurely, ili kumpa ushindi Mtanzania na hata pambano la mkenya Kimario na Ibrahim Mafia pia refa amemaliza mchezo na kumpa ushindi Mtanzania.
Hizi mbeleko ndiyo zinawalemaza mabondia wetu na kutegemea kubebwa!
Ngoja nisubirie main bout nione nini kitatokea.