Baba yenu nyerere na vibaraka wake ndio waliomtuma kwa hiyo wewe na nyinyi ndio mkahanindugu kwanza kabisa mshukuru Field marshal Tito Okelo,na ukiweza uka hani kabuli lake!
Baba yenu nyerere na vibaraka wake ndio waliomtuma kwa hiyo wewe na nyinyi ndio mkahanindugu kwanza kabisa mshukuru Field marshal Tito Okelo,na ukiweza uka hani kabuli lake!
Soma Historia ya Mapinduzi Kijana,Acha kudanganywa na Hadithi za Vijiweni.Waliofanya Mapinduzi ya Kumng'oa Sultani ni Tanganyika wakisaidiana na Uganda waliowatuma Mamluki wakiongozwa na John Okelo.Tanganyika ilivyoona Okelo anataka Kujitangaza Rais,Haraka haraka ikamtangaza Karume aliyekuwa Dar Es Salaam wakati wa Mapinduzi.Baada ya Miezi Mitatu tu ya Mapinduzi,Tanganyika iliamua kuiweka Zanzibar Chini ya Uangalizi wake na Kuiachia Mamlaka ya Ndani.Baada ya Tanganyika kuongeza Himaya yake ya Zanzibar ilibadili Jina na kujiita Tanzania. Zanzibar hairuhusiwi kufanya Maamuzi yoyota Makubwa bila idhini ya Tanganyika(hutamkwa Tanzania).Kama mapinduzi yamefanyika , Zanzibar haiwezi kuwa mkoa wa Tanganyika hata mfanye nini, Zanzibar ipo na itaendelea kuwepo, wale anti-Zanzibar sentiments ukiwemo wewe Pasco, tunakwambieni go to hell....f**** haters.
Soma Historia ya Mapinduzi Kijana,Acha kudanganywa na Hadithi za Vijiweni.Waliofanya Mapinduzi ya Kumng'oa Sultani ni Tanganyika wakisaidiana na Uganda waliowatuma Mamluki wakiongozwa na Joohn Okelo.Tanganyika ilivyoona Okelo anataka Kujitangaza Rais,Haraka haraka ikamtangaza Karume aliyekuwa Dar Es Salaam wakati wa Mapinduzi.Baada ya Miezi Mitatu tu ya Mapinduzi,Tanganyika iliamua kuiweka Zanzibar Chini ya Uangalizi wake na Kuiachia Mamlaka ya Ndani.Baada ya Tanganyika kuongeza Himaya yake ya Zanzibar ilibadili Jina na kujiita Tanzania. Zanzibar hairuhusiwi kufanya Maamuzi yoyota Makubwa bila idhini ya Tanganyika(hutamkwa Tanzania).
Kwa hiyo Watanganyika tunaelewa kwa Undani sana jinsi tulivyomng'oa Sultani na hatupo tayari kukiacha Kisiwa cha Zanzibar.
Nchi ni mbili tu, Tanganyika na Zanzibar, Tanzania sio nchi ni shirikisho tu, vipi iwe na Rais wakati ni shirikisho ? Kwa mujibu wa katiba ya zanzibar mabadiliko ya 10 inasema Zanzibar ni nchi na mipaka yake. Tanzania sio nchi ni shirikisho.Mimi mwenyewe sijawahi kuona nchi ina marais wawili.Very strange
Si wana ongoza nchi zao ? Huyu wa Tanzania anaongoza nchi gani ? Tanzania haiwezi kuwa nchi, ni shirikisho tu za nchi, hatuwezi tukawa na Rais wa Tanzania ni usanii tuKwa nini ushangai nchi yenye marais wawili na wote wakiwa maamili jeshi wakuu?
Naona umepitwa na wakati wewe mzee, hujui unachokisema, huijui Zanzibar kwa sababu wewe ndio wale anti - Zanzibar sentiment, ninachokwambia kashindwa baba yako nyerere utaweza wewe, hujui lolote wewe ni brain washed umejazwa unyerere ubongoni mwako na umekujaa
Mimi mwenyewe na shangaa kwanza itakuwa ni kisilani cha hali ya juu kweli yani nchi moja marais watatu mungu atuepushe na hili balaa.
Mimi mwenyewe sijawahi kuona nchi ina marais wawili.Very strange
Kama ni suala la uwingi wa marais basi hata hao wawili ni wengi bali anatakiwa kuwa mmoja kwenye nchi mojaKatika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.
Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?
Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.
Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.
Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,
Nawakilisha.
Kijana,Sisi Wazee ndio tunaojua Historia ya Nchi hii na Baba zetu walishiriki kumpindua Sultani wakitokea Tanganyika.Juzi Dr.Shein kakumbushwa hili na kaapa asiyetaka Muungano ahame Zanzibar.
Damu ya Watanganyika ilimwagika kumtoa Sultani ambaye alishindikana kuondoka kwa njia za Kidemokrasia.Hatuwezi kukubali kuiacha Zanzibar kirahisi kama unavyofikiria.Mtaendelea kuwa na Utawala wenu wa Ndani ili msipoteze utamaduni wenu lakini lazima muendelee kuwa chini ya Usimamizi wa Tanganyika.
Bunge la Katiba litaenda kufanya Mabadiliko madogodogo hasa kwenye Katiba ya Zanzibar lakini katu sio kuanzisha Serikali ya Tanganyika maana kwa kufanya hivyo ni sawa na kusema Zanzibar ina hadhi sawa na Tanganyika.
Siku zote kumbuka,Zanzibar haina Hadhi sawa na Tanganyika kwa sababu Zanzibar ni Sehemu ya Tanganyika(Tanzania) ndio maana Rais wa Tanganyika anapigiwa Kura mpaka Zanzibar.
Kijana usiwe mbali na Wazee ili ujuzwe ukweli wa Mambo.
Kijana,Sisi Wazee ndio tunaojua Historia ya Nchi hii na Baba zetu walishiriki kumpindua Sultani wakitokea Tanganyika.Juzi Dr.Shein kakumbushwa hili na kaapa asiyetaka Muungano ahame Zanzibar.
Damu ya Watanganyika ilimwagika kumtoa Sultani ambaye alishindikana kuondoka kwa njia za Kidemokrasia.Hatuwezi kukubali kuiacha Zanzibar kirahisi kama unavyofikiria.Mtaendelea kuwa na Utawala wenu wa Ndani ili msipoteze utamaduni wenu lakini lazima muendelee kuwa chini ya Usimamizi wa Tanganyika.
Bunge la Katiba litaenda kufanya Mabadiliko madogodogo hasa kwenye Katiba ya Zanzibar lakini katu sio kuanzisha Serikali ya Tanganyika maana kwa kufanya hivyo ni sawa na kusema Zanzibar ina hadhi sawa na Tanganyika.
Siku zote kumbuka,Zanzibar haina Hadhi sawa na Tanganyika kwa sababu Zanzibar ni Sehemu ya Tanganyika(Tanzania) ndio maana Rais wa Tanganyika anapigiwa Kura mpaka Zanzibar.
Kijana usiwe mbali na Wazee ili ujuzwe ukweli wa Mambo.
Una uhakika kwamba hao ni Marais? Maana "United Arab Emirates" inamaanisha "Muungano wa falme za Kiarabu" au "Umoja a Falme za Kiarabu" kama utapenda. Sasa kama ni falme na si Jamhuri marais wanatoka wapi tena?United Arab emirates kwa ufupi Dubai ,huko muungano ni nchi saba ,na kila nchi ina raisi wake huitwa Hakim ,kwa mfano huanzia kwa Sheikh fulani bin fulani mkuu wa majeshi na hakim wa Shaja ,mfano ila hiyo Hakim ni kama Raisi wa hiyo Shaja Na zaidi ya wote ni Mkuu wa hiyo united arabuemirates ,sasa kusema hujaona inawezekana ila leo utakuwa umeona ,nenda kaguguli ,utupunguzie mzigo.
Mimi mwenyewe na shangaa kwanza itakuwa ni kisilani cha hali ya juu kweli yani nchi moja marais watatu mungu atuepushe na hili balaa.
Paukwa!pakawa!hivi munauwezo wa kuzuia nguvu ya wananchi?mfumo kristo lazima uhame zanzibar ukitaka usitake.
United Arab emirates kwa ufupi Dubai ,huko muungano ni nchi saba ,na kila nchi ina raisi wake huitwa Hakim ,kwa mfano huanzia kwa Sheikh fulani bin fulani mkuu wa majeshi na hakim wa Shaja ,mfano ila hiyo Hakim ni kama Raisi wa hiyo Shaja Na zaidi ya wote ni Mkuu wa hiyo united arabuemirates ,sasa kusema hujaona inawezekana ila leo utakuwa umeona ,nenda kaguguli ,utupunguzie mzigo.
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.
Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?
Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.
Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.
Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,
Nawakilisha.
United Arab emirates kwa ufupi Dubai ,huko muungano ni nchi saba ,na kila nchi ina raisi wake huitwa Hakim ,kwa mfano huanzia kwa Sheikh fulani bin fulani mkuu wa majeshi na hakim wa Shaja ,mfano ila hiyo Hakim ni kama Raisi wa hiyo Shaja Na zaidi ya wote ni Mkuu wa hiyo united arabuemirates ,sasa kusema hujaona inawezekana ila leo utakuwa umeona ,nenda kaguguli ,utupunguzie mzigo.