technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Marais wasitaafu wote leo wameuaga Mwili Wa Jaji mstaafu Augustine Ramadhani
Tayari Kwenda Kuzikwa Marais Hao Wakiongozwa Na Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete Wameuaga Mwili Wa Jaji Huyo Mstaafu.
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu amen.
Tayari Kwenda Kuzikwa Marais Hao Wakiongozwa Na Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete Wameuaga Mwili Wa Jaji Huyo Mstaafu.
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu amen.