Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
😄😄😄Nimecheka....dada, yule Ex akati anajifanya kutaka turudiane, nilimjibu simple tyuuh.
"Wee kiumbe wa watu usinilazimishee niende Jelaa, jinaii niliyonayo inatoshaa, hii ya mauaji siihitaji"
hajarudiaa tenaa.
Kwanza hata muda wa kuzungumza naye yote hayo umeupata wapi?



