Marafiki wanatafutwa

Marafiki wanatafutwa

FLAVOR

Senior Member
Joined
Jun 13, 2012
Posts
138
Reaction score
49
Mimi sikuhizi sina marafiki, sijui ni sababu ya familia ama mtindo wa maisha, sasabasi natafuta marafiki ambao tutaanza kuwasiliana kwa whatsapp 0683157704. True friends jamani, hasa wakina mama 🙂 na wakina dada 🙂, wababa wenye kujitambua ambao tutakaa na kujadili mambo muhimu ya maisha, na kupanga na kufanikisha mambo yetu, siyo kujadili yasiyohusu. Umri wa wahusika haijalishi ila nahisi ni vyema kuanzisha ka group ketu ka whatsapp. Vijana wadogo la, mimi nina 37, married, and very positive, nakunywa kidogo, nasoma vitabu pia na napendelea movies ni mfanyabiashara.

Nicheki tuone tunakutana wapi wikiendi, vinywaji kila mtu anajilipia na msosi pia 🙂
 
Kama no mjasilia mali karibu uone bidhaa zangu very unique ambazo nahisi zitakutoa. Na yeyote yule aliye interested namkaribisha. Ni hapa Dar.
 
Mimi sikuhizi sina marafiki, sijui ni sababu ya familia ama mtindo wa maisha, sasabasi natafuta marafiki ambao tutaanza kuwasiliana kwa whatsapp 0683157704. True friends jamani, hasa wakina mama 🙂 na wakina dada 🙂, wababa wenye kujitambua ambao tutakaa na kujadili mambo muhimu ya maisha, na kupanga na kufanikisha mambo yetu, siyo kujadili yasiyohusu. Umri wa wahusika haijalishi ila nahisi ni vyema kuanzisha ka group ketu ka whatsapp. Vijana wadogo la, mimi nina 37, married, and very positive, nakunywa kidogo, nasoma vitabu pia na napendelea movies ni mfanyabiashara.

Nicheki tuone tunakutana wapi wikiendi, vinywaji kila mtu anajilipia na msosi pia 🙂


Hapa mtaishia kufumaniana tu!:majani7::majani7::majani7:
 
Nonsense wewe nina wasiwasi ni KE yani ME mzima unakuja na upuuzi wa kutafuta marafiki humu JF seriously! Halafu unajifanya mfanya buashara! Hao unaouza nao ubuyu si ndio marafiki zako! Simbilisi atafuatana na simbilisi wenzake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom