Marafiki waliopotezana siku nyingi wanapokutana

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
May 4, 2012
3,022
1,305
5e87937ed107829c4cf3460dac08a0c2.jpg
 
Aisee mkuu pastor,hao jamaa huko mjini wametokea wapi tena?Si wanasemaga ni viumbe hatari hao,hasa kwa jinsia ya 'me',eti akikuchapa na mkia wake unakua khanithi.Ni ya kweli haya mkuu?
 
Aisee mkuu pastor,hao jamaa huko mjini wametokea wapi tena?Si wanasemaga ni viumbe hatari hao,hasa kwa jinsia ya 'me',eti akikuchapa na mkia wake unakua khanithi.Ni ya kweli haya mkuu?
Ule mkia wake una aleji na shahawa za mwanaume ambazo anaihisi kwa njia ya upepo ambapo huwa anahisi kama sumu inamtembea sasa namna ya kuitoa ndio anajaribu kumpiga kwa mkia na hapo ikikutana na mishipa ya damu ya kwenda huku basi inaidhoofisha na fimbo ya Musa haisimami.
Huwa wanakuja mjini kusalimia na kushangaa mazingira
 
Ule mkia wake una aleji na shahawa za mwanaume ambazo anaihisi kwa njia ya upepo ambapo huwa anahisi kama sumu inamtembea sasa namna ya kuitoa ndio anajaribu kumpiga kwa mkia na hapo ikikutana na mishipa ya damu ya kwenda huku basi inaidhoofisha na fimbo ya Musa haisimami.
Huwa wanakuja mjini kusalimia na kushangaa mazingira
mkuu majibu mujarabu. U made my night!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom