Marafiki wa CHADEMA NI WAZUNGU TU?

Marafiki wa CHADEMA NI WAZUNGU TU?

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,209
Ziara za viongozi wa CHADEMA nje ya nchi huwa ni Kwa wazungu tu.Swali hawana marafiki nchi za kiafrika WA KWENDA KUWATEMBELEA?
 
Ziara za viongozi wa CHADEMA nje ya nchi huwa ni Kwa wazungu tu.Swali hawana marafiki nchi za kiafrika WA KWENDA KUWATEMBELEA?

Ingekuwa vema kama ungetuwekea mahesabu kamili ya Ziara za Kikwete kati ya hizo 400 ni ngapi alikwenda kutembelea nchi za Africa na Ngapi alitembelea Wazungu nikimaanisha USA na nchi za Ulaya na ngapi alitembelea China. baada ya hapo uorodheshe za viongozi wa CDM halafu uje na jibu ni chama kipi kinatembelea sana WAZUNGU.
 
Ziara za viongozi wa CHADEMA nje ya nchi huwa ni Kwa wazungu tu.Swali hawana marafiki nchi za kiafrika WA KWENDA KUWATEMBELEA?

For your information Chadema leaders are puppets if you don't know..!! Hawana cha kutusaidia zaidi ya Ku corrupt innocent minds
 
Ingekuwa vema kama ungetuwekea mahesabu kamili ya Ziara za Kikwete kati ya hizo 400 ni ngapi alikwenda kutembelea nchi za Africa na Ngapi alitembelea Wazungu nikimaanisha USA na nchi za Ulaya na ngapi alitembelea China. baada ya hapo uorodheshe za viongozi wa CDM halafu uje na jibu ni chama kipi kinatembelea sana WAZUNGU.

Tofautisha ziara za kiserikali na za kichama.Raisi akisafiri anasafiri kiserikali si kichama.Ninachouliza ni ziara za kichama za CHADEMA mbona nyingi kwa wazungu tofauti na CCM?
 
For your information Chadema leaders are puppets if you don't know..!! Hawana cha kutusaidia zaidi ya Ku corrupt innocent minds

Na ccm iliyotuuza china na marekani,mzee wa tezi dume kila mwezi lazima aende usa mbona huzungumzii hilo
 
Tofautisha ziara za kiserikali na za kichama.Raisi akisafiri anasafiri kiserikali si kichama.Ninachouliza ni ziara za kichama za CHADEMA mbona nyingi kwa wazungu tofauti na CCM?

Ziara anaenda na makada wa ccm na kinana bado unaita ziara za kiserikali,kweli nimeamini una ubongo wa kuku
 
Tena hao wazungu ni wa nchi zenye kukubali ndoa za jinsia moja
 
Usiwe na akili za kuazima.ccm ndo mawakala wa wazungu.tuambie nani amewapa wazungu na wachina madini na ardhi yetu.www..
 
Tena hao wazungu ni wa nchi zenye kukubali ndoa za jinsia moja

Na huko wanakokubali ndoa ya jinsia moja ndio kunakotoka misaada… na safari hii hao "mashoga" mpaka watawatemesha hela za IPTL...Safari zote 400 za mwenyekiti wenu kaenda huko huko…lini kaenda Saud Arabia au Somalia au Sudan kwenye ndoa moja???
 
Kama hujui chadema ina vyama rafiki ktk nchi za kenya,ghana,namibia nk.tatizo wanafikiri wengine ,unalopoka ww?
 
Sijui bado utakuwa na kumbukumbu kidogo na picha ya bwana mkubwa akiwa Brazil anatinga bembeya kiserikali?
 
It is nonesense ulinganishe ziara za mkuu wa nchi na wapiga zomali
 
Hujui ni akina nani wanaonifanya ccm iendelee kutawala tz? Hujui waliomfanya Hosni Mubarak atawale 29yrs, Hujui waliomnusuru kiongoz wa Bahrain wananchi waliovoanza kuandamana ang'oke, Hujui waliomdondosha Gaddafi na Saddam, Hujui waliolianzisha kundi la IS, Hujui wanaofanya mfalme Abdullah wa saudia aendelee kutawala kwa amani. Hujui waliomuwezesha Al-sis kumpindua Mursi na kuzima maandamano. Unadhani rais wa Iran ni mjinga kukubali majadiliano na hao mashoga kuhusu mambo yake ya ndani.
Kama ulikuwa hujui yeyote anayetaka madaraka au anayetaka kuendelea kutawala kwa amani hana budi kwenda kupiga magoti huko kuomba ridhaa ya wakubwa. Tusiwalaumu Tezidume hana option vingnevyo yatatukuta ya Sierraleon, Libya, Iraq, Congo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom