Marafiki wa CHADEMA NI WAZUNGU TU?

Marafiki wa CHADEMA NI WAZUNGU TU?

Tofautisha ziara za kiserikali na za kichama.Raisi akisafiri anasafiri kiserikali si kichama.Ninachouliza ni ziara za kichama za CHADEMA mbona nyingi kwa wazungu tofauti na CCM?

Hata barabara ikijengwa huwa mnasema mmetekeleza ilani ya chama na huwa mnasema ccm inajenga nchi, huoni kuna uwezekano hata ziara za raisi ni utekelezaji wa ilani ya chama?
 
mbona hata MKUU madakitari wake na w a z u n gu:cheer2:
 
mbona hata MKUU madakitari wake ni w a z u n gu:cheer2:kama nimekosea utanikumbusha
 
Ziara za viongozi wa CHADEMA nje ya nchi huwa ni Kwa wazungu tu.Swali hawana marafiki nchi za kiafrika WA KWENDA KUWATEMBELEA?

Dr. Slaa alipigiwa mizinga 21 hapo Zambia. Kama hujui jambo uliza ufahamishwe sio kubwabwaja kama hamnazo.
 
Chama dume linaongea na kubishana na wazungu sio cccm nani anaweza kuongea na wazungu hapo, si alikuwa nyerere pekee, nani mwingine, mwigulu?? Nape?? Kinana??? Mangula??? feki pipo tu ndo wako sssm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom