Maradhi yanayomsibu binadamu na tiba yake

Shukran kwa njia ya tuba mbadala maana angekuwa yule bingwa Fulani angeanza nitumie 20000 nitukumie formula hii ni kwa ajili ya kuendeshea ofisi na viscreen shot kibao vya kubumba
Mimi huwaga ananiudhi sana, na vile viscreen shot vyake
 
MziziMkavu yamenikuta mimi, naomba msaada wadau, sina amani na hili khaaa
dafcd6191d7e7571c086ac2f72a6558b.jpg
nimepatwa na ugonjwa kwa mujibu moja ya post toka hapa jamiiforum unaitwa basili, hii ni baada ya kwenda hospital pale kairuki nakuambia hivyo...kuna nyama imetoka pembeni mwa haja kubwa hii nyama inanipa wakati mgumu sana..Naombeni msada wenu wadau nifanyeje ili kuondoa nyama hii...
cc MziziMkavu
mshana jr
Mkuu mbona kama marinda ushayatoa huenda ndio sababu sio ugonjwa
 
Habari mkuu, nina tatizo la kiganja cha mkono kupwita/kuuma kama kina usaha au mdudu, je nitumie Dawa gani?
 
mimi niko na tatizo la kuumwa na kichwa hasa kuanzia saaa kumi jioni na baridi kali huku karibu na milima ya meru, ila nikiwa maeneo ya chini sehemu za joto kidopgo kutoka sehemu ambayo ninaishi kichwa kinaaachia, hakiumi nikipanda tena kinaanza. msaada plz
 
mimi niko na tatizo la kuumwa na kichwa hasa kuanzia saaa kumi jioni na baridi kali huku karibu na milima ya meru, ila nikiwa maeneo ya chini sehemu za joto kidopgo kutoka sehemu ambayo ninaishi kichwa kinaaachia, hakiumi nikipanda tena kinaanza. msaada plz
Inaonyesha unatembea sehemu zenye baridi pasipo na kuvaa kofia ya baridi ndio maana kichwa kinakuuma unapokuwa sehemu za baridi vaa kofia.na ujipake mafuta nazi kichwani.
 
MziziMkavu yamenikuta mimi, naomba msaada wadau, sina amani na hili khaaa
dafcd6191d7e7571c086ac2f72a6558b.jpg
nimepatwa na ugonjwa kwa mujibu moja ya post toka hapa jamiiforum unaitwa basili, hii ni baada ya kwenda hospital pale kairuki nakuambia hivyo...kuna nyama imetoka pembeni mwa haja kubwa hii nyama inanipa wakati mgumu sana..Naombeni msada wenu wadau nifanyeje ili kuondoa nyama hii...
cc MziziMkavu
mshana jr

TIBA YA MARADHI YA BAWASIRI




Kutibu Maradhi ya BAWASIRI (MGORO):

Haya ni maradhi ambayo humsibu mgonjwa sehemu ya haja kubwa ambayo humsababisha kupata maumivu.
DALILI ZAKE:
(1) Kupata choo kigumu.
(2) Kutokwa damu sehemu ya haja kubwa baada ya kujisaidia.
(3) Muwasho au maumivu na joto kali sehemu ya bawasiri.
(4) Kupata maumivu wakati unapokaa.
(5) Vidonda au kutokwa nje na kijinyama sehemu ya kutokea haja kubwa.
(6) Upungufu wa nguvu za kiume.


TIBA: Jambo la kwanza kabla ya tiba mgonjwa aweze kutibiwa maradhi ya kutopata choo vizuri ikiwa anayo kwa sababu huzidisha maradhi haya. Pia epuka kula Nyama hasa ya ngombe, Pilipili na vitu vikali. Hali kadhalika usinywe maziwa kwa wingi naUpendelee Kunywa Maji kwa wingi na matunda na mboga za majani kwa wingi

Kanuni ya kwanza:
Kunywa juisi ya tikiti maji aka (Water Melon) asubuhi kabla ya kula chakula na usiku kabla ya kulala kwa muda wa siku 14 au siku 21Dawa hii hutibu na kuondoa maumivu ya bawasiri.

Kanuni ya pili: Chukua Asali safi ya Nyuki nusu lita , unga wa kamun aswad vijiko vitatu vikubwa,unga wa Habat soda vijiko vitatu vikubwa na unga wa kamun abiyadhi vijiko viwili vikubwa. Vitu vyote hivi vichanganye pamoja kwa kuvikoroga kwa kijiko. Chukua vijiko viwili vikubwa vya mchanganyiko huu kisha ukoroge ndani ya kikombe cha Maji ya moto. Yakishapoa uchuje halafu unywe kikombe kimoja kutwa mara mbili asubuhi na jioni Tumia dawa mpaka ipatekumalizika .

Kanuni ya tatu:
Ikiwa ni bawasiri ya kutoka nje au yenye vidonda, paka mafuta ya nyonyo aka Mafuta ya Mbarika (Castor Oil) kila siku asaubuhi na usiku unapolala kwa muda wa siku14 au siku 21.


Ukitumia hizo dawa na hujapona itakuwa unayo maradhi ya Bawasiri yanayo ambatana na Uchawi na mashetani aka pepo mchafu ndie anaye kuletea hayo maradhi, unitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
TIBA YA MARADHI YA BAWASIRI




Kutibu Maradhi ya BAWASIRI (MGORO):

Haya ni maradhi ambayo humsibu mgonjwa sehemu ya haja kubwa ambayo humsababisha kupata maumivu.
DALILI ZAKE:
(1) Kupata choo kigumu.
(2) Kutokwa damu sehemu ya haja kubwa baada ya kujisaidia.
(3) Muwasho au maumivu na joto kali sehemu ya bawasiri.
(4) Kupata maumivu wakati unapokaa.
(5) Vidonda au kutokwa nje na kijinyama sehemu ya kutokea haja kubwa.
(6) Upungufu wa nguvu za kiume.


TIBA: Jambo la kwanza kabla ya tiba mgonjwa aweze kutibiwa maradhi ya kutopata choo vizuri ikiwa anayo kwa sababu huzidisha maradhi haya. Pia epuka kula Nyama hasa ya ngombe, Pilipili na vitu vikali. Hali kadhalika usinywe maziwa kwa wingi naUpendelee Kunywa Maji kwa wingi na matunda na mboga za majani kwa wingi

Kanuni ya kwanza:
Kunywa juisi ya tikiti maji aka (Water Melon) asubuhi kabla ya kula chakula na usiku kabla ya kulala kwa muda wa siku 14 au siku 21Dawa hii hutibu na kuondoa maumivu ya bawasiri.

Kanuni ya pili: Chukua Asali safi ya Nyuki nusu lita , unga wa kamun aswad vijiko vitatu vikubwa,unga wa Habat soda vijiko vitatu vikubwa na unga wa kamun abiyadhi vijiko viwili vikubwa. Vitu vyote hivi vichanganye pamoja kwa kuvikoroga kwa kijiko. Chukua vijiko viwili vikubwa vya mchanganyiko huu kisha ukoroge ndani ya kikombe cha Maji ya moto. Yakishapoa uchuje halafu unywe kikombe kimoja kutwa mara mbili asubuhi na jioni Tumia dawa mpaka ipatekumalizika .

Kanuni ya tatu:
Ikiwa ni bawasiri ya kutoka nje au yenye vidonda, paka mafuta ya nyonyo aka Mafuta ya Mbarika (Castor Oil) kila siku asaubuhi na usiku unapolala kwa muda wa siku14 au siku 21.


Ukitumia hizo dawa na hujapona itakuwa unayo maradhi ya Bawasiri yanayo ambatana na Uchawi na mashetani aka pepo mchafu ndie anaye kuletea hayo maradhi, unitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Duuu huo Unga wa kumun aswad na kamun sijui nini unapatikana wapi??
 
tiba ya bawasiri ni ipi mkuu mzizi mkavu
TIBA YA MARADHI YA BAWASIRI




Kutibu Maradhi ya BAWASIRI (MGORO):

Haya ni maradhi ambayo humsibu mgonjwa sehemu ya haja kubwa ambayo humsababisha kupata maumivu.
DALILI ZAKE:
(1) Kupata choo kigumu.
(2) Kutokwa damu sehemu ya haja kubwa baada ya kujisaidia.
(3) Muwasho au maumivu na joto kali sehemu ya bawasiri.
(4) Kupata maumivu wakati unapokaa.
(5) Vidonda au kutokwa nje na kijinyama sehemu ya kutokea haja kubwa.
(6) Upungufu wa nguvu za kiume.


TIBA: Jambo la kwanza kabla ya tiba mgonjwa aweze kutibiwa maradhi ya kutopata choo vizuri ikiwa anayo kwa sababu huzidisha maradhi haya. Pia epuka kula Nyama hasa ya ngombe, Pilipili na vitu vikali. Hali kadhalika usinywe maziwa kwa wingi naUpendelee Kunywa Maji kwa wingi na matunda na mboga za majani kwa wingi

Kanuni ya kwanza:
Kunywa juisi ya tikiti maji aka (Water Melon) asubuhi kabla ya kula chakula na usiku kabla ya kulala kwa muda wa siku 14 au siku 21Dawa hii hutibu na kuondoa maumivu ya bawasiri.

Kanuni ya pili: Chukua Asali safi ya Nyuki nusu lita , unga wa kamun aswad vijiko vitatu vikubwa,unga wa Habat sodavijiko vitatu vikubwa na unga wa kamun abiyadhi vijiko viwili vikubwa. Vitu vyote hivi vichanganye pamoja kwa kuvikoroga kwa kijiko. Chukua vijiko viwili vikubwa vya mchanganyiko huu kisha ukoroge ndani ya kikombe cha Maji ya moto. Yakishapoa uchuje halafu unywe kikombe kimoja kutwa mara mbili asubuhi na jioni Tumia dawa mpaka ipatekumalizika .

Kanuni ya tatu:
Ikiwa ni bawasiri ya kutoka nje au yenye vidonda, paka mafuta ya nyonyo aka Mafuta ya Mbarika (Castor Oil) kila siku asaubuhi na usiku unapolala kwa muda wa siku14 au siku 21.


Ukitumia hizo dawa na hujapona itakuwa unayo maradhi ya Bawasiri yanayo ambatana na Uchawi na mashetani aka pepo mchafu ndie anaye kuletea hayo maradhi, unitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
Mkunazi unaitwaje scientific.naona hii ipo kiimani zaidi
Mti wa Mkunazi kwa jina la Scientific ni (JujubeTree) haipo kiimani tu Mti wa Peponi na Mti wa duniani upo sehemu nyingi sana huu mti.
WAJUA KUWA MAJINI NA WACHAWI HUUGOPA MKUNAZI !!!!


MKUNAZI NA UCHAWI ( JUJUBE TREE REPEL SPIRIT AND WITCH )

Amini ndg yangu, unapoongelea mti wa MKUNAZI basi unaongelea ule mti ambao Allah ameuita SIDRAT L MUNTAHA, yaani mti unao maliza mambo yote, au mwisho wa mambo,
WAKRISTO wakauita Mti wa Uzima, japo Wakiristo hawaujuwi Mti wa Uzima ni Mti gani? Ila kwa taarifa yako Mti huo ni MKUNAZI.

KWANINI MAJINI NA WACHAWI HAWAUPENDI MTI HUU ?


mti huu huwa unapendwa sana kukaliwa na malaika wakubwa kama RAUQAYAAIL,SAMSAMAAIL,GHANAAIL,ISRAHAMAAIL,DARDAAIL nk.
hivyo majini wote waasi na wachawi huwa wanapofika mahali penye mti wa mkunazi hawawezi kukaa wala kusimama mahala hapo.
na ndiyo maana mkunazi unapo kuwepo basi katika nyumba hiyo huwa hafiki mchawiwala shetani.


FAIDA YA MKUNAZI

Mkunazi una faida nyingi sana

1) majani yake ukiloweka na kuogea iwapo utasomea aya za qur aan basi utaepukwa na kukaliwa mbali majini aina 10 wakorofi ambao ni

1) jalwush,

2) ummu muldami

3) ankis

4) ghaughaan

5) bedui bidwaan

6) makata wa makatani

7) maymuna l hind'

9) zawaabil

10) atruush

Majini hao kamwe hawata mdhuru tena mtu iwapo atafanyia kisomo maalum cha KHAWAATIMU katika maji yaliyo lowekwa majani ya mkunazi.
pia majani ya mkunazi iwapi unaumwa KIFUA SUGU lakini si pumu, chemsha pamoja na ndimu kisha unywe kwa siku 14 utapona,
kama UNAWANGIWA au kutembelewa na wachawi mara kwa mara basi chukua MAJANI YA MKUNAZI kisha weka HAIJALI na FAYJALI loweka pamoja na usomee kisomo cha KHAWAATIMU, kisha umwage ndani ya nyumba au shamba na wachawi hawatokujia tena kukudhuru. ndg mkunazi una mambo mengi sana ambapo ukiwa nao unaweza kufungua clinick kwa kutumia majani ya mkunazi tu.


Tabia ya mti huu ni ajabu sana kama ulivyo mti wa MZAYTUNI,mtu mwenye roho mbaya akipanda basi mti huu hauoti

na mchawi akipita katika eneo lenye mti huo, basi ajue mtamkuta asubuhi, na HATOONDOKA mpaka wachawi wenzake waje wamlipishe faini, na vipi utamgundua mchawi aliye naswa katika nyumba iliyo fanyiwa kisomo cha khawaatimu kwa majani ya Mkunazi?. utamkuta akiwa katika umbo la paka mweusi au nyoka aina ya cobra
Chanzo. Herbalist Dr.MziziMkavu


BENEFIT OF JUJUBE TREE.jpg
 
mimi niko na tatizo la kuumwa na kichwa hasa kuanzia saaa kumi jioni na baridi kali huku karibu na milima ya meru, ila nikiwa maeneo ya chini sehemu za joto kidopgo kutoka sehemu ambayo ninaishi kichwa kinaaachia, hakiumi nikipanda tena kinaanza. msaada plz
Unapokwenda Sehemu za baridi jipake mafuta ya nazi usoni mpaka masikioni na uwe unakunywa chai ya tangawizi na uwe unavaa kilembe usiwe kichwa wazi sehemu zenye baridi kali.Baridi inaingia kichwani.
 
Back
Top Bottom