Mara ya mwisho umetumia kondomu lini?

Mara ya mwisho umetumia kondomu lini?

Nakutania kiongozi,sema nlikuwepo apo Masasi tarehe 2 Hadi 5 mwezi huu.BR pamewaka siku izi hatari sana [emoji2][emoji2]
Dah kumbe unanichilimua kwa hiyo now wap dar au mtwara au lindi kote niko mimi sio mangaka sio ruangwa sio nanganga sio mnaz sio mitwero sio mpapula kote mwanangu me naishi nakubali
 
Mimi condom kwakweli natumia ila nacheza chini ya kiwango.,nacheza defensive Sana nakuwa na hofu Sana.
Ball possession 40% demu white.
Ball posession 30% demu black.


Nyama nyama tamu asikwambie mtu. Nacheza fully attacking.
Ball posession 96% demu white.
Ball posession 80% demu black.


Nikipiga kavu nakuwa na mawazo week nzima. na sijuwi nawazaga nn
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Mimi condom kwakweli natumia ila nacheza chini ya kiwango.,nacheza defence nakuwa na hofu Sana.
Ball possession 40% demu white.
Ball posession 30% demu black.


Nyama nyama tamu asikwambie mtu. Nacheza fully attacking.
Ball posession 96% demu white.
Ball posession 80% demu black.


Nikipiga kavu nakuwa na mawazo week nzima. na sijuwi nawazaga nn
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Mm nkitumia ndomu huwa simwagi kabisa mpaka mwanamke anakauka.

Bado nko natafuta brand nzuri ya condom ambayo nikivaa nitahisi kama vile nagonga kavu!!!

Hua nkitoka kugonga demu nawaza Sana sjui atashika mimba??

Kwa saiz nmeamua tu kununua malaya kwa sabab malaya hanaga mambo ya "baby sizioni sku zangu"
 
Mm nkitumia ndomu huwa simwagi kabisa mpaka mwanamke anakauka.

Bado nko natafuta brand nzuri ya condom ambayo nikivaa nitahisi kama vile nagonga kavu!!!

Hua nkitoka kugonga demu nawaza Sana sjui atashika mimba??

Kwa saiz nmeamua tu kununua malaya kwa sabab malaya hanaga mambo ya "baby sizioni sku zangu"
Mimi nipo tofauti Sana mkuu,,

Kile kitendo cha kuvaa condom nahisi kama sifanyi sex,
I don't feel anything.

Ila nikiwa sijavaa ,,vile nikigusisha kichwa bila condom ni kama vile umeme umerudi "UWOOOOOOO"""

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Roho wa bwana ananiambia kwamba siku hizi mnajisahau sana kuvaa kinga shida nini jamani mtakufa vibaya dogs nyie mkilewa kilimanjaro huko mnaingiliana kavukavu ina maana hamuogopi tena maradhi mnajitoa ufahamu mnajichetua pombe zinawafanya mnajisahau sana ns madanga hao mnaowapata wanapenda kugawa rectum na wanaume tunaongoza kuogopa kwenda kupima wanawake wanapina sana kwenye uzazi wa mpango au kliniki huko ukimpeleka mtoto au ukishika mimba lazima upimwe.af cha ajabu wanaume hata ukiwaambia fulani anameza vidonge bado anajipeleka kwa huyohuyo karibuni kwetu kibo bar masasi.View attachment 2498161
Juzi na demu ambaye nilikuja kujua kuwa ni demu wa mwanangu .

Iam sorry Fadhili mademu ni wachawi sana
 
Oya wazee,, wakati tukiendelea kukataa kondomu, tukumbuke kutafuta njia mbadala ya kuzuia mimba zisizotarajiwa. Hawa watoto ombaomba huku mtaan wanatia huzuni sana, na wengi wao sio yatima. Ni matokeo ya wanaume wenzetu walioongozwa na kichwa cha chini.
 
Oya wazee,, wakati tukiendelea kukataa kondomu, tukumbuke kutafuta njia mbadala ya kuzuia mimba zisizotarajiwa. Hawa watoto ombaomba huku mtaan wanatia huzuni sana, na wengi wao sio yatima. Ni matokeo ya wanaume wenzetu walioongozwa na kichwa cha chini.
Kitu kingine ni kupambana na umasikini

Ukiwa na kipato huwezi kutelekeza mtoto kirahisi,hao wanaotelekeza watoto maisha yamewachapa na bado wanakojoa kojoa hovyo
 
Bob sambeke unanifukuzia toka kitambo sitaki kukuvunjia heshima mandazi wewe ila nitakuja kukupiga bao tano shoga wewe shauri zako me sipendi mtu anizarau kwa vitu vidogo wakati niko huru
😂😂😂😂😂😂
Mimi huwa sipo serious kabisa

Siku nikijisikia nakuwa mpole ,, kuna siku Mambo hayaendi nikiona thread najisiki kutukana tu

Kuna huyu Mwachiluwi namvutia pumzi nimeona thread zake mbili Nina njaa nimeshindwa comment nitarudi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi huwa sipo serious kabisa

Siku nikijisikia nakuwa mpole ,, kuna siku Mambo hayaendi nikiona thread najisiki kutukana tu

Kuna huyu Mwachiluwi namvutia pumzi nimeona thread zake mbili Nina njaa nimeshindwa comment nitarudi

[emoji378] unataka nilipua [emoji23][emoji23][emoji23] kwahio leo kazi yako kubwa kukosoa mwandiko mwalimu?
 
Back
Top Bottom