josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 640
Wakuu habari,
Nina safari ya Musoma kutokea Arusha kwa basi, nimepata basi la Mwanza hivyo itanibidi kulala Mwanza kisha niendele na safari siku ya pili.
Kwa kuwa ndio mara yangu ya kwanza kusafiri kuelekea huu ukanda nkaona niombe ABC za ninakoelekea kwa maana pa kushukia, mtaa wa kulala wenye malazi angalau kwa wananchi wa kipato cha kati n.k
Natanguliza shukrani.
Nina safari ya Musoma kutokea Arusha kwa basi, nimepata basi la Mwanza hivyo itanibidi kulala Mwanza kisha niendele na safari siku ya pili.
Kwa kuwa ndio mara yangu ya kwanza kusafiri kuelekea huu ukanda nkaona niombe ABC za ninakoelekea kwa maana pa kushukia, mtaa wa kulala wenye malazi angalau kwa wananchi wa kipato cha kati n.k
Natanguliza shukrani.