Mkuu upo Seoul sehem gani tuonane? Unapajua Anguk? NiPM basinilienda kufata biashara nchini korea kusini maana mizigo yangu huwa nachukuliaga japani sasa nikaona niende nchini korea kusini maana watu wanapasifu sana sasa NILIVYO tinga tu uwanja wa ndege balaaaa mara kajisogeza binti ananiongelesha ki gojoseon mtu nikakaa kimya baadae kidogo akatoa simu kumbe alikuwa anataka tupige nae picha.
Akaondoka sijakaa vizuri mtu mwingine tena akaja akafyotoa pichakuna mtu alikuwa anakuja kuniijia Airports sasa kumbe mtu amekuja akanikosa watu wakaendelea kufyotoa maserfie tuu yahatarii sahizi nimetoka kituo cha police maana nilipotea ikabidi wampigie simu yule mwenyeji wangu aje
wa kuacha ujinga ni wewe sio sisiYaani jamaa kapoteza mb zake za bure kisa ujinga acheni ujinga nyie njooni tule
KIMCHI
Haaa.sheikh kumbe huyu jamaa katupikia chai?Maui acha kuwadanganya watu humu JF huko korea wengine tushaishi hadithi zako peleka huko Facebook, hhgrrhgg ati ukapotea then unaweka picha za Mghana ambae kweli nimaarufu hapa korea.
우키는 TV
Ufungua hio link utamuona, acha kutafuta kiki za kijinga.
Ndio maana nilimuuliza kwenye picha alizo attach kwenye uzi yeye.Maui acha kuwadanganya watu humu JF huko korea wengine tushaishi hadithi zako peleka huko Facebook, hhgrrhgg ati ukapotea then unaweka picha za Mghana ambae kweli nimaarufu hapa korea.
우키는 TV
Ufungua hio link utamuona, acha kutafuta kiki za kijinga.
Acha storyHuko wanafunzi wanasoma mpaka 4 usiku.elimu wameiweka kipaombele mno.kuna documentary niliiona walifanya student exchange.wanafunzi Wa Uk wakaenda huko wakaenda darasani siku ya kwanza walisinzia ( sec.school) kutoka halo kuna Tuition kuna mtaa maarufu wote ni Tuition tupu mpaka 6 usiku.wa Uk wakapeleka test zao ambazo wanazifanya mtihani Wa taifa Wa sec.unafanya sijui 2 hours saa sikumbuki vizuri.wao walimaliza for 15 minutes.na wakasema wao walijufunza primary darasa labda la 2.na teens wanaongoza kwa kujiua
ametoka nduki alifikiri Tanzania enzi ya tv moja mtaa nzima.hahaaaaaa daaaah kuna watu jf chaiii balaaaaah