Mara paap umemfumania mkeo, utafanyaje?

Mara paap umemfumania mkeo, utafanyaje?

Namchukua naenda naye nyumbani aniambie ni kitu gani kilimsibu hadi akaamua kufanya alichofanya
 
Hapana, ujue makosa kama hayo yanatokea kwa Wanadamu...ila nitajiuliza kwnz amekosa nini mpaka afanye hivyo?
Mbona kama Siamini jamanii.... Sema ukweli bhanaa, hamna kinachouma ka mke kukulwa Azarel!!!!
 
Mbona kama Siamini jamanii.... Sema ukweli bhanaa, hamna kinachouma ka mke kukulwa Azarel!!!!
Kweli kuchapiwa mke inauma sana...! Mimi maamuzi yatakuja hapo hapo nitakapowafumania...!

Wabillah Tawfiq,
 
Mimi sijali zaidi zaidi ntawaacha wote waende kwa amani ntatafuta mwanamke mwingine maana hata Mimi nachepuka sana tu japo sio kwa wake za watu
 
Ni mkeo wa ndoa, unampenda sana, unamtunza na unamjali, kwa kila hali
Mara paap unamkuta kitandani na lijamaa linamwaga uno hatari, kibaya zaidi mkeo anampa kwa style ambazo wewe ukimuomba anakukatalia.

Mara aseme anatumia, yani we daily kifo cha mende alafu unamkuta anagegedwa chumbani kwako, kitanda chako tena akitoa vilio vya kimahaba ilihali wee ukimgegeda limetulia tu macho makavu inavyoskitisha zaid, jamaa uliyemfuma nae ni, mbavu ile mbaya alafu wewe hata pushup 5 huwezi.

Utafanyaje mkuu katika hali hiyo?

Mimi binafsi nitapambana na hali yangu, how about u?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]kudaadeki nawalipua..mtungi wa gesi utawahusu humo chumbani
 
Ivi unajua adrenaline gland ndo inafany kaz apo huyo na minyama yke atakua mpolee...hamna mbaya kama fumaniz
 
Back
Top Bottom