Kinacho ongeza round sio wanafunzi kuchaguliwa zaidi ya chuo kimoja (directly) bali ni wanafunzi wengi kukosa udahili kwa sababu tofauti. Inafungua dirisha (raundi nyingine ) ili kuwapa hawa nafasi. Confirmation inasolve issue ya multiple selections.Baada ya kutoka matokeo kwenye awamu ya kwanza, tulilishuhudia hili la wanafunzi wengi kupata vyuo zaid ya kimoja.
Je likitokezea tena kwenye 2nd round si litapelekea kuwepo kwa 3rd round?
Huu ni mtizamo tu.
Sikulazimishi uamini ila nimeona mwenyeweMmmhhh si kweli
TBC gani mkuu??Kaimu katibu mkuu wa TCU ametoka kutangaza TBC awamu ya tatu live
Tbc1 ilikuwa kipindi maalumTBC gani mkuu??
duh! basi kazi ipo isije kutokea na 4th round tenaTbc1 ilikuwa kipindi maalum
Mara paap 3rd round haipoBaada ya kutoka matokeo kwenye awamu ya kwanza, tulilishuhudia hili la wanafunzi wengi kupata vyuo zaid ya kimoja.
Je likitokezea tena kwenye 2nd round si litapelekea kuwepo kwa 3rd round?
Huu ni mtizamo tu.
ww unaona vnatakiwa vifunguliwe tar ngap??Afu wanataka wafungue vyuo tarehe 30/10 lol
sawa mkuu, ila kusema ukweli mfumo wa msimu huu umenikatisha tamaa sana. Na ni kama ndoto za vijana wengi hasa tuliomaliza stashahada na kutaka kuendelea shahada zitakufa kama mfumo huu utaendelea kutumika bila kufanyiwa maboresho au kufutwa kabisa.Acha tuangalie kuanzia kesho hadi ijumaa nahisi tutakua tumeshapata majibu.
AVN si umepata? Na GPA yako si imefika 3.0 au zaid?sawa mkuu, ila kusema ukweli mfumo wa msimu huu umenikatisha tamaa sana. Na ni kama ndoto za vijana wengi hasa tuliomaliza stashahada na kutaka kuendelea shahada zitakufa kama mfumo huu utaendelea kutumika bila kufanyiwa maboresho au kufutwa kabisa.
kila kitu kipo sawa avn to gpa 4.0 sema kada niliyopo (afya) system hii imetubagua sana watu wa diploma. Imagine UDOM MD with equivalent entry,chances zilikua 10 tu na selection zao hamna mtu aliyepata if not just one person, kwa mantiki hiyo walipiga chini hata hao kumi, Muhas kulikua na nafasi 20, Kairuki 24, Suza 05 tuAVN si umepata? Na GPA yako si imefika 3.0 au zaid?
Yeah nimeona, ila ujue vyuo vyote vinawapa kipaumbele kwa sababu utaona programme inachukua watu 55. Ila diploma katika hao 55 ni 5 tukila kitu kipo sawa avn to gpa 4.0 sema kada niliyopo (afya) system hii imetubagua sana watu wa diploma. Imagine UDOM MD with equivalent entry,chances zilikua 10 tu na selection zao hamna mtu aliyepata if not just one person, kwa mantiki hiyo walipiga chini hata hao kumi, Muhas kulikua na nafasi 20, Kairuki 24, Suza 05 tu
anyway, nasubiria muujiza kwenye second selection. Mungu asimamie hiliYeah nimeona, ila ujue vyuo vyote vinawapa kipaumbele kwa sababu utaona programme inachukua watu 55. Ila diploma katika hao 55 ni 5 tu