Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Wanafunzi wa kidato cha tano sita na tatu wa Shule ya Sekondari Bumangi Wilaya ya Butiama mkoani Mara wamenusurika kifo baada ya bweni kuteketea kwa moto muda mfupi baada ya wanafunzi hao kuondoka bwenini na kwenda kusali ambapo mali zao zote zimeteketea.