Mapya yaibuka: Maafisa wa TMAA walipewa hela ili Smelter isijengewe Tanzania

Wana JF kuna mambo mapya yanayozidi kujitokeza tangu rais Magufuli awasimamishe maafisa wakuu wa Taasisi ya TMAA inayosimamia MADINI ambayo pia ilimfanya rais Magufuli kumvua Uwaziri Mh.Muhongo kama Waziri wa Madini kwa sababu zilizo wazi.

Inavyosemekana ni kuwa mwaka wa 2009 TUME maalumu iliyojulikana kama PRESIDENTIAL MINING REVIEW COMMISSION,iliyoongozwa na JAJI Mark Bomani. Tume hii ilitoa MAPENDEKEZO kuwa SMELTER ijengwe hapa nchini.

Lakini cha kushangaza ni kuwa maafisa hao wa TMAA wakawa tayari wamekuwa COMPROMISED na Makampuni husika yaani WAKAHONGWA ili WAYANYAMAZISHE matakwa ya Tanzania Kuwa na UWEZO wake na TEKNLOJIA HIYO.

Katika mbinu zao za kuzima ripoti na mapendekezo ya tume TMAA, miaka sita iliyopita hivi wakaanza mipango ya KUYAMWAGIA MAJI mapendekezo YOTE ya Tume ya Jaji Mark Bomani ili KUIDHOOFISHA kabisa
Na mwishowe KUZIZIMA kabisa NDOTO za Watanzania kuwa na mitambo yao ya SMELTER.
Na hivyo KUTUSALITI sawasawa ili tuendelee KUIBIWA VIZURI na hayo Makampuni.

Mwaka wa 2011 MAAFISA wa TMAA walitembelea miji ya TOKYO na SAGANOSEKI Copper concentrate Smelter nchini JAPAN ili WAJIONEE wenyewe TEKNOLOJIA hiyo na jinsi nchi yetu inavyoweza KUJIJENGEA Smelter yake yenyewe.

Katika safari yao ilikuwa pia wajue GHARAMA za UWEKEZAJI/UJENZI na uwezo na gharama za uendeshaji nchini.

Ikikikumbuka kuwa tume ya Jaji Mark Bomani ilikuwa pia imeenda huko kabla wakati ikiandika na kuchukuwa DATA, ili kutayarisha ripoti mpya ya sheria ya MINIMG LAW/Sheria mpya za MADINI.

Mwaka 2011 TMAA nao wakatoa ripoti yao iliyojulikana kama:
"A STUDY on VIABILITY to CONSTRUCTING a COPPER Concentrate SMELTER in Tanzania"

Ripoti yao ILIPINGA VIKALI mapendekezo ya Tume ya Jaji Bomani.
Na hivyo Kuwaachia wezi field day ya kuiba mchanga wetu WATAKAVYO na WAPENDAVYO. Maana tayari TMAA walikuwa wamekuwa compromised/WAMEHONGWA.

Kwa wale wanaolaumu uamuzi wa Rais Magufuli na kupendelea Makampuni wanaposikia haya si WAONE HUZUNI kuwa hakika TULIIBIWA Vya KUTOSHA na IMETOSHA?
Na Tanzania INAWEZA kabisa KUJIJENGEA yenyewe hiyo MITAMBO.

Maana NIA TUNAYO na UWEZO TUNAO tukishikana pamoja na kushirikiana kama Watanzania
HAKUNA lolote ambalo Tanzania HAITALIWEZA KULIFANYA.

Kwa Maafisa kama hawa wa TMAA WALIOTUSALITI wanastahili kuwa JELA bila HURUMA.

Hatuwezi kuwa taifa la OMBAOMBA wakati kila RASLIMALI tunayo.
Na hali watu wachache wenye tamaa wanataka tubaki Maskini huku wao wakijenga magorofa
TUNAKATAA kama Watanzania.
Mungu IBARIKI Tanzania na Rais Magufuli.
Chanzo: The EastAfrican.


Rais Magufuki ameunda uadui mkubwa na Viongozi kutoka pande zote, chama chake na Upinzani. Wale wote waliokuwa wakivuna bila ya kuwa na mashamba wamemukalia kooni na kuimba demokrasia. Wanasema tulisema, lakini Sasa wamegeuka wanasema anafukuza wawekezaji, makampuni yanafungwa, anachukuwa pesa za watu kwenye mabenki. Nchi yeyote ukiwa na mali ambazo hazijuikani umezipata wapi, na hauna record ya kodi yamapato serikaini utachunguzwa na mali zako kutaifishwa.

Tumekuwa na wawekezaji waliofanya biashara miaka NENDA miaka rudi wanasema wanapata hasara lakini hawaondoki wala hawafungi biashara hawa ni wezi wa kodi za Watanzania. Tanzania imeibiwa sana na wawekezaji kama hawa wakisaidiwa na baadhi ya Viongozi wetu waliojitajirisha na ndiyo hao Sasa wanaotumia pesa zao kuichafua serikali ya Tanzania chini ya Dr Magufuli kwa jina la demokrasia.

Demokrasia gani inayopatikana kwa kuifirisi nchi na kuwafanya watu kuwa masikini wa kutupa, na wachache kuwa matajiri wa kupindukia kwa kuwaibia wengi. Kenya ina katiba nzuri na uhuru wakumuita hata Rais nyani, lakini haiwasaidii wananchi, Wananchi wanasema,, wanandamana na kupigwa mabomu lakini viongozi wanaiba bila ya kujali demokrasia. Wezi hawafungwi na na Kila uchaguzi wakenya wanakufa kwa mamia. Leo tunamusikia Tundu Lissu akisema demokrasia ya ukweli iko Kenya bila ya aibu. . Tumepata bahati kumpaka Rais amejitosa kupambana na hawa wezi, Sasa anaitwa dictator na muuwaji wa watu kwa mapanga. Hii yote ni kazi ya wezi wachache waliojitajirisha kwa mali ya wizi. Sasa wanatumia pesa zao kumufanya Rais ashindwe kuiongoza Tanzania.

Wapinzani walimusifu Rais Magufuli kuwa anafanya kazi waliokuwa wakitaka, na anapigna na ufisadi kama waivyokuwa wakitaka. Sasa wanasema na kumuita dictator. Sasa wanayatetea makampuni makubwa kuwa ameyabana na anafukuza wawekezaji. Tundu Lissu ALISEMA majaji wanahongwa. Rais Magufuli akawapanguwa, na kuhioji Safari zao za gharama pesa wanapata wapi, za kusafiri nchi za nje na familia zao Kila mala, Tunamusikia Tundu Lissu Sasa anawatetea na kusema wanaruhusiwa kusafiri na kulipiwa na serikali. Amefanya mazungumuzo na Acacia, kabula ya mazungumuzo kukamilika, tayari mtu kama Tundu Lissu anamuzomea kwenye television ya dunia kuwa hajalipwa hata senti moja, utafikiri pesa hizo Rais Magufuli akili-was ataziweka mifukoni mwake. Hata Kama hatuelewani kwenye siasa, ugonvi wa mali yetu wote lazima tuwe pamoja, lakini kuna wale watu wachache wanaollipwa na mafisadi na makampuni makubwa wanafanya Kila njia Rais Magufuli ashindwe kuiongoza nchi ili waendelee kujitajirisha wenyewe na kuwaacha mamilioni ya Watanzania masikini.
 
Rais Magufuki ameunda uadui mkubwa na Viongozi kutoka pande zote, chama chake na Upinzani. Wale wote waliokuwa wakivuna bila ya kuwa na mashamba wamemukalia kooni na kuimba demokrasia. Wanasema tulisema, lakini Sasa wamegeuka wanasema anafukuza wawekezaji, makampuni yanafungwa, anachukuwa pesa za watu kwenye mabenki. Nchi yeyote ukiwa na mali ambazo hazijuikani umezipata wapi, na hauna record ya kodi yamapato serikaini utachunguzwa na mali zako kutaifishwa.

Tumekuwa na wawekezaji waliofanya biashara miaka NENDA miaka rudi wanasema wanapata hasara lakini hawaondoki wala hawafungi biashara hawa ni wezi wa kodi za Watanzania. Tanzania imeibiwa sana na wawekezaji kama hawa wakisaidiwa na baadhi ya Viongozi wetu waliojitajirisha na ndiyo hao Sasa wanaotumia pesa zao kuichafua serikali ya Tanzania chini ya Dr Magufuli kwa jina la demokrasia.

Demokrasia gani inayopatikana kwa kuifirisi nchi na kuwafanya watu kuwa masikini wa kutupa, na wachache kuwa matajiri wa kupindukia kwa kuwaibia wengi. Kenya ina katiba nzuri na uhuru wakumuita hata Rais nyani, lakini haiwasaidii wananchi, Wananchi wanasema,, wanandamana na kupigwa mabomu lakini viongozi wanaiba bila ya kujali demokrasia. Wezi hawafungwi na na Kila uchaguzi wakenya wanakufa kwa mamia. Leo tunamusikia Tundu Lissu akisema demokrasia ya ukweli iko Kenya bila ya aibu. . Tumepata bahati kumpaka Rais amejitosa kupambana na hawa wezi, Sasa anaitwa dictator na muuwaji wa watu kwa mapanga. Hii yote ni kazi ya wezi wachache waliojitajirisha kwa mali ya wizi. Sasa wanatumia pesa zao kumufanya Rais ashindwe kuiongoza Tanzania.

Wapinzani walimusifu Rais Magufuli kuwa anafanya kazi waliokuwa wakitaka, na anapigna na ufisadi kama waivyokuwa wakitaka. Sasa wanasema na kumuita dictator. Sasa wanayatetea makampuni makubwa kuwa ameyabana na anafukuza wawekezaji. Tundu Lissu ALISEMA majaji wanahongwa. Rais Magufuli akawapanguwa, na kuhioji Safari zao za gharama pesa wanapata wapi, za kusafiri nchi za nje na familia zao Kila mala, Tunamusikia Tundu Lissu Sasa anawatetea na kusema wanaruhusiwa kusafiri na kulipiwa na serikali. Amefanya mazungumuzo na Acacia, kabula ya mazungumuzo kukamilika, tayari mtu kama Tundu Lissu anamuzomea kwenye television ya dunia kuwa hajalipwa hata senti moja, utafikiri pesa hizo Rais Magufuli akili-was ataziweka mifukoni mwake. Hata Kama hatuelewani kwenye siasa, ugonvi wa mali yetu wote lazima tuwe pamoja, lakini kuna wale watu wachache wanaollipwa na mafisadi na makampuni makubwa wanafanya Kila njia Rais Magufuli ashindwe kuiongoza nchi ili waendelee kujitajirisha wenyewe na kuwaacha mamilioni ya Watanzania masikini.
Ni kweli kabisa. JPM katika juhudi zake za kuwakomboa Watanzania amepata maadui wengi sana. Hasa kwa sababu wengine walizoea kufanya Watakavyo.Na KUFUMBA macho.

Mfano mzuri ni huu wa Huyu mwanamama anayeitwa Queen of Ivory/Malkia wa Pembe za Ndovu amefanya MADUDU MABAYA sana kwa miaka mingi,..... huku akiwa mmoja wa viongozi wa Ushirikiano kati ya Wachina na Watanzania ........huku AKIUA TEMBO wetu.
Sasa Kafungwa. Unafikiri waliokula naye WANAFURAHI?

Hivyo Rais wetu anahitajio MAOMBI yetu Mungu amlinde kutokana na MAADUI wa NDANI na NJE!
 
O
Pili awakamate na kuwapa haki yao wale wote waliofungulia milango kuruhusu ngedere na nguruwe kushambulia shamba la bibi. Sio suala la kuanua ngoma juani tu! inatakiwa ipigwe kweli kweli mpaka watu wafurahi ndiyo uzalendo.
ipigwe sana?
 
Ni kweli kabisa. JPM katika juhudi zake za kuwakomboa Watanzania amepata maadui wengi sana. Hasa kwa sababu wengine walizoea kufanya Watakavyo.Na KUFUMBA macho.

Mfano mzuri ni huu wa Huyu mwanamama anayeitwa Queen of Ivory/Malkia wa Pembe za Ndovu amefanya MADUDU MABAYA sana kwa miaka mingi,..... huku akiwa mmoja wa viongozi wa Ushirikiano kati ya Wachina na Watanzania ........huku AKIUA TEMBO wetu.
Sasa Kafungwa. Unafikiri waliokula naye WANAFURAHI?

Hivyo Rais wetu anahitajio MAOMBI yetu Mungu amlinde kutokana na MAADUI wa NDANI na NJE!
Hujakatazwa kuomba...
 
Ni kweli kabisa. JPM katika juhudi zake za kuwakomboa Watanzania amepata maadui wengi sana. Hasa kwa sababu wengine walizoea kufanya Watakavyo.Na KUFUMBA macho.

Mfano mzuri ni huu wa Huyu mwanamama anayeitwa Queen of Ivory/Malkia wa Pembe za Ndovu amefanya MADUDU MABAYA sana kwa miaka mingi,..... huku akiwa mmoja wa viongozi wa Ushirikiano kati ya Wachina na Watanzania ........huku AKIUA TEMBO wetu.
Sasa Kafungwa. Unafikiri waliokula naye WANAFURAHI?

Hivyo Rais wetu anahitajio MAOMBI yetu Mungu amlinde kutokana na MAADUI wa NDANI na NJE!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Hivi kweli kama ni mkristu unayekwenda kanisani kwa Mungu kusali kumuomba baraka na ulinzi wake.
Unawezaje kumuombea mtu kwamba Mungu amlinde, wakati mtu mwenyewe huyo anaingia kanisani kwa Mungu kumuomba amlinde huku yeye mwenyewe akiwa na askari jeshi wanamlinda.
Yaani mimi ambaye silindwi hata na mgambo nianze kumuombea mtu anayelindwa na askari hadi ndani ya kanisa?
Manake inaonyesha huto mtu labda haamini hata uwepo wa Mungu ndani ya kanisa hilo analosali.
Ni ngumu sana kwangu mimi kumuombea mtu kama huyo labda nijitoe ufahamu ila kwa akili znagu hizi ,aisee hapana
 
Ni kweli kabisa. JPM katika juhudi zake za kuwakomboa Watanzania amepata maadui wengi sana. Hasa kwa sababu wengine walizoea kufanya Watakavyo.Na KUFUMBA macho.

Mfano mzuri ni huu wa Huyu mwanamama anayeitwa Queen of Ivory/Malkia wa Pembe za Ndovu amefanya MADUDU MABAYA sana kwa miaka mingi,..... huku akiwa mmoja wa viongozi wa Ushirikiano kati ya Wachina na Watanzania ........huku AKIUA TEMBO wetu.
Sasa Kafungwa. Unafikiri waliokula naye WANAFURAHI?

Hivyo Rais wetu anahitajio MAOMBI yetu Mungu amlinde kutokana na MAADUI wa NDANI na NJE!

Watanzania wengi sana wamepata tabu sana kwenye uongozi uliopita. Ndiyo Rais Magufuli alikuwa serikalini lakini alikuwa hana power yeyote ya kutetea haki za Watanzania na akasikika. Lakini ilikuwa inamuumiza. Nchi ilikuwa imeshikwa na wanaojiita watoto wa CCM na mafisadi, watanzania wengine walikuwa hawana haki.

Mafisadi na wadhulumaji walikuwa ndiyo Wameshika uwongozi wa juu. Mama HUYU wa ki China malikia wa tembo kulikuwa hakuna mahali pa kuwapeleka na ukasikilizwa. Watu kama wakina Mbowe waliofanya biashara kwenye jengo la National Housing bila kulipa kodi wakati Mtanzania wa kawaida aliyekuwa akiishi kwenye nyumba ya musajili akipitisha tu miezi miwili vyombo vyake vinatupwa nje na kufukuzwa. Watu wa mabilioni kama Mbowe waliachwa huru kuinyonya serikali ya wengi kwa mabilioni mpaka Rais Magufuli alipoingia madaraka kupambana na watu hawa, na chuki kubwa zimeanza. Sasa Mama tembo kufungwa, Mbowe aliachia jengo, hii bila ya uongozi wa Rais Magufuli isingewezekana. Kulikuwa hakuna mtu wa kuwagusa, leo wanaimba demokrasia na ndiyo viongozi wa Vyama vya Upinzani na kumuita Rais Magufuli dictator, hizi zote ni chuki. Kuna Watanzania wamezurumiwa mali zao, mashamba yao, na hata kuuwawawa na wenye pesa walikuwa hawana pa kwenda kushitaki na Sasa wanasikilizwa.

Viwanja, nyumba zilipanda bei kwa Mtanzania wa kawaida asingeweza kununuwa, na walioweza kununuwa wengi wao ni wapiga tenda na serikali. Chupa moja ya maji ya shs.100 serikali ilinunuwa mala kumi ya bei. Pesa ambazo zingeenda kutowa huduma kwa watu, ziliwatajirisha wachache, kujenga magorofa kwenye nchi isiyokuwa na barabara wala umeme kwa pesa zinazoibiwa serikalini. Waliojulikana walipewa mikopo na mabenki bila kufuata sheria, wakijuwa wanakopa na hawatalipa na kusababisha hasara kwa taifa na mabenki mengi kufungwa na wananchi kupoteza pesa zao. Hii ndiyo demokrasia Tundu Lissu anaisifu leo na kuikumbuka.

Sasa mambo yamebadilika. Wanasema pesa zimepotea mitaani Rais Magufuli kaharibu nchi, ambao Huu ni udanganyifu. Pesa zilizokuwa zikizagaa mitaani ni za wote zikiibiwa na wachache. Ni bahati mbaya Watanzania wengi hawajiwezi hata kutumia mitandao, support ya Rais Magufuli ingekuwa kubwa kupindukia. Ni sisi wachache tunaojiweza kutumia mitandao kupaza sauti zetu kumuunga Rais Magufuli. Wenye pesa wanaenda mpaka Uingereza, Ubeligiji, mpaka Marekani kumutukana Rais, sauti za wengi ziko kimya kwa umasikini.

Watu wengi wanesaidiwa tangu Rais Magufuli aliposhika madaraka. Wengi hatukuamini kama atapambana na dhuluma hizi, mpaka alipoanza kazi. Sasa wameibuka waombaji wa demokrasia hawataji ufisadi ni demokrasia tu. Hii demokrasia ya kutukana matusi, ya kumuita mtu muuwaji bila ya ushahidi, ya kusema Watanzania wakatiwe misaada, wazomewe kwaajiri ya chuki ya mtu mmoja tu anayetumiwa na hawa wadhulumaji ni demokrasia gani? Tujiulize. Watanzania wenye kupenda haki kwa wote lazima tusimame na Rais Magufuli na MUNGU atasaidia ukweli utajitenga na uwongo.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Hivi kweli kama ni mkristu unayekwenda kanisani kwa Mungu kusali kumuomba baraka na ulinzi wake.
Unawezaje kumuombea mtu kwamba Mungu amlinde, wakati mtu mwenyewe huyo anaingia kanisani kwa Mungu kumuomba amlinde huku yeye mwenyewe akiwa na askari jeshi wanamlinda.
Yaani mimi ambaye silindwi hata na mgambo nianze kumuombea mtu anayelindwa na askari hadi ndani ya kanisa?
Manake inaonyesha huto mtu labda haamini hata uwepo wa Mungu ndani ya kanisa hilo analosali.
Ni ngumu sana kwangu mimi kumuombea mtu kama huyo labda nijitoe ufahamu ila kwa akili znagu hizi ,aisee hapana
Kuwa na na ulinzi haina maana kuwa Mungu hamuamini. Kwa kazi gkama yake unafikiri atatembea hovyo hovyo kama mimi na wewe?
Mkuu hebu mwombee tu mkuu.
Usiwe na kinyongo.
 
Watanzania wengi sana wamepata tabu sana kwenye uongozi uliopita. Ndiyo Rais Magufuli alikuwa serikalini lakini alikuwa hana power yeyote ya kutetea haki za Watanzania na akasikika. Lakini ilikuwa inamuumiza. Nchi ilikuwa imeshikwa na wanaojiita watoto wa CCM na mafisadi, watanzania wengine walikuwa hawana haki.

Mafisadi na wadhulumaji walikuwa ndiyo Wameshika uwongozi wa juu. Mama HUYU wa ki China malikia wa tumbo kulikuwa Hakuna mahali pa kuwapeleka ni nani atakusikiliza. Watu kama wakina Mbowe waliofanya biashara kwenye jengo la serikali bila kulipa kodi wakati Mtanzania wa kawaida aliyekuwa zikishikwa kwenye nyumba ya musajili akipitisha tu kosinya miezi miwili vyombo vyake vinatupwa nje na kufukuzwa. Watu mabilioni waliachwa huru kuinyonya serikali ya wengi kwa mabilioni mpaka Rais Magufuli alipoingia madaraka. Kulikuwa hakuna mtu wa kuwagusa, leo wanaimba demokrasia na ndiyo viongozi wa Vyama vya Upinzani na kumuita Rais Magufuli dictator. Kuna Watanzania wamezurumiwa mali zao, mashamba yao, na hata kuuwawawa na wenye pesa alikuwa hawana pa kwenda kushitaki na Sasa wanasikilizwa.

Viwanja, nyumba zilipanda bei kwa Mtanzania wa kawaida asingeweza kununuwa, na walioweza kununuwa wengi wao ni wapiga tenda na serikali. Chupa moja ya maji ya shs.100 serikali ilinunuwa mala kumi ya bei. Pesa ambazo zingeenda kutowa huduma kwa watu, ziliwatajirisha wachache, kujenga magorofa kwenye nchi isiyokuwa na barabara wala umeme kwa pesa zinazoibiwa serikalini. Waliojulikana walipewa mikopo na mabenki bila kufuata sheria, wakijuwa wanakopa na hawana nia ya kulipa kusababisha hasara kwa taifa na mabenki mengi kufungwa na wananchi kupoteza pesa zao.

Sasa mambo yamebadilika. Wanasema pesa zimepotea mitaani Rais Magufuli kaharibu nchi, ambao Huu ni udanganyifu. Pesa zilizokuwa zikizagaa mitaani ni za wote zikiibiwa na wachache. Ni bahati mbaya Watanzania wengi hawajiwezi hata kutumia mitandao, support ya Rais Magufuli ingekuwa kubwa kupindukia. Ni sisi wachache tunaojiweza kutumia mitandao kupaza sauti zetu kumuunga Rais Magufuli. Wenye pesa wanaenda mpaka Uingereza, Ubeligiji, mpaka Marekani kumutukana Rais, sauti za wengi ziko kimya kwa umasikini.

Watu wengi wanesaidiwa tangu Rais Magufuli aliposhika madaraka. Wengi hatukuamini kama atapambana na dhuluma hizi, mpaka alipoanza kazi. Sasa wameibuka waombaji wa demokrasia hawataji ufisadi ni demokrasia tu. Hii demokrasia ya kutukana matusi, ya kumuita mtu muuwaji bila ya ushahidi, ya kusema Watanzania wakatiwe misaada, wazomewe kwaajiri ya chuki ya mtu mmoja tu anayetumiwa na hawa wadhulumaji. Watanzania wenye kupenda haki kwa wote lazima tusimame na Rais Magufuli na MUNGU atasaidia ukweli utajitenga na uwongo.
Nakubaliana nawe 100% Hata wale wanaotumia mitandao kumkejeli hawafiki popote maana KURA za URAIS huwa hazipigiwi Mitandaoni.
Laiti nao hao wangeelewa JUHUDI anazozifanya Rais Dr.JPM katika kuirudisha nchi hii katika UZURI, basi wangenyamaza kimya na KUMUUNGA mkono ili aweze kutimiza ndoto alizonazo kwa ajili ya Watanzania wote pasipo kujali VYAMA VYAO.
Kwa kifupi UNAFIKI ni mbaya sana.
 
Vipofu wanaongozana, wanadanganyana na wanapongezana bila kujua wanaelekea wapi...masikini Tanzania!
 
Vipofu wanaongozana, wanadanganyana na wanapongezana bila kujua wanaelekea wapi...masikini Tanzania!
Propaganda za uwongo na za ki binafisi ambazo hata ukiwa kiziwi kipofu utazitambuwa. Tanzania sio masikini ni watu kama nyinyi wenye kununuliwa kwa bei ndogo ili kuididimiza Tanzania na watu wake kwa demokrasia uchwala bila haki.
 
Kuwa na na ulinzi haina maana kuwa Mungu hamuamini. Kwa kazi gkama yake unafikiri atatembea hovyo hovyo kama mimi na wewe?
Mkuu hebu mwombee tu mkuu.
Usiwe na kinyongo.

Watanzania wana mutindo wa kumwachia Kila kitu Mungu. MUNGU anataka tujisaidie na yeye ataongeza musaada. Rais hawezi kwenda bila ya ulinzi Wakati watu aliowagusa wako tayari kufanya Kila kitu ili ashindwe kuiongoza Tanzania. MUNGU atampa NGUVU aendelee bila ya kutizama nyuma kwa niaba ya Watanzania wote hata wanaomuchukia. Na Watanzania wenye kupenda haki kwa wote tuzidi kumuombea Amen
 
Lakini cha kushangaza ni kuwa maafisa hao wa TMAA wakawa tayari wamekuwa COMPROMISED na Makampuni husika yaani WAKAHONGWA ili WAYANYAMAZISHE matakwa ya Tanzania Kuwa na UWEZO wake na TEKNLOJIA HIYO.

Mwaka 2011 TMAA nao wakatoa ripoti yao iliyojulikana kama:
"A STUDY on VIABILITY to CONSTRUCTING a COPPER Concentrate SMELTER in Tanzania"

Ripoti yao ILIPINGA VIKALI mapendekezo ya Tume ya Jaji Bomani.
Na hivyo Kuwaachia wezi field day ya kuiba mchanga wetu WATAKAVYO na WAPENDAVYO. Maana tayari TMAA walikuwa wamekuwa compromised/WAMEHONGWA.
: The EastAfrican.
Mkuu Shige2, asante tena kwa bandiko hili, mimi nililitumia kama mbugu kuoteshea bandiko langu hili
Wataalamu Hawa Wachunguzwe!,Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa Ripoti Kuwa "Tanzania Hatuwezi?!". - JamiiForums

Hizi possibilities za viongozi wetu na maofisa wetu kuwa compromised bado zinaendelea. Nimesoma taarifa ya Ikulu kuhusu majadiliano ya kulipwa zile dola bilioni 191 za Noah zetu, yamemalizika kwa kusamehe deni letu lote na sasa kile kishika uchumba cha US $ milioni 300, ndizo zitakuwa kifuta machozi chetu!.

Naomba kwa sasa tusiseme sana tusubiri kwanza taarifa rasmi, ndipo wa kusema tuseme, yaani toka dollars Billions 191 hadi just 300 millions, just like that?!, There has to be a very good explanation ndipo tuelewe vinginevyo...

P.
 
Wana JF kuna mambo mapya yanayozidi kujitokeza tangu rais Magufuli awasimamishe maafisa wakuu wa Taasisi ya TMAA inayosimamia MADINI ambayo pia ilimfanya rais Magufuli kumvua Uwaziri Mh.Muhongo kama Waziri wa Madini kwa sababu zilizo wazi.

Inavyosemekana ni kuwa mwaka wa 2009 TUME maalumu iliyojulikana kama PRESIDENTIAL MINING REVIEW COMMISSION,iliyoongozwa na JAJI Mark Bomani. Tume hii ilitoa MAPENDEKEZO kuwa SMELTER ijengwe hapa nchini.

Lakini cha kushangaza ni kuwa maafisa hao wa TMAA wakawa tayari wamekuwa COMPROMISED na Makampuni husika yaani WAKAHONGWA ili WAYANYAMAZISHE matakwa ya Tanzania Kuwa na UWEZO wake na TEKNLOJIA HIYO.

Katika mbinu zao za kuzima ripoti na mapendekezo ya tume TMAA, miaka sita iliyopita hivi wakaanza mipango ya KUYAMWAGIA MAJI mapendekezo YOTE ya Tume ya Jaji Mark Bomani ili KUIDHOOFISHA kabisa
Na mwishowe KUZIZIMA kabisa NDOTO za Watanzania kuwa na mitambo yao ya SMELTER.
Na hivyo KUTUSALITI sawasawa ili tuendelee KUIBIWA VIZURI na hayo Makampuni.

Mwaka wa 2011 MAAFISA wa TMAA walitembelea miji ya TOKYO na SAGANOSEKI Copper concentrate Smelter nchini JAPAN ili WAJIONEE wenyewe TEKNOLOJIA hiyo na jinsi nchi yetu inavyoweza KUJIJENGEA Smelter yake yenyewe.

Katika safari yao ilikuwa pia wajue GHARAMA za UWEKEZAJI/UJENZI na uwezo na gharama za uendeshaji nchini.

Ikikikumbuka kuwa tume ya Jaji Mark Bomani ilikuwa pia imeenda huko kabla wakati ikiandika na kuchukuwa DATA, ili kutayarisha ripoti mpya ya sheria ya MINIMG LAW/Sheria mpya za MADINI.

Mwaka 2011 TMAA nao wakatoa ripoti yao iliyojulikana kama:
"A STUDY on VIABILITY to CONSTRUCTING a COPPER Concentrate SMELTER in Tanzania"

Ripoti yao ILIPINGA VIKALI mapendekezo ya Tume ya Jaji Bomani.
Na hivyo Kuwaachia wezi field day ya kuiba mchanga wetu WATAKAVYO na WAPENDAVYO. Maana tayari TMAA walikuwa wamekuwa compromised/WAMEHONGWA.

Kwa wale wanaolaumu uamuzi wa Rais Magufuli na kupendelea Makampuni wanaposikia haya si WAONE HUZUNI kuwa hakika TULIIBIWA Vya KUTOSHA na IMETOSHA?
Na Tanzania INAWEZA kabisa KUJIJENGEA yenyewe hiyo MITAMBO.

Maana NIA TUNAYO na UWEZO TUNAO tukishikana pamoja na kushirikiana kama Watanzania
HAKUNA lolote ambalo Tanzania HAITALIWEZA KULIFANYA.

Kwa Maafisa kama hawa wa TMAA WALIOTUSALITI wanastahili kuwa JELA bila HURUMA.

Hatuwezi kuwa taifa la OMBAOMBA wakati kila RASLIMALI tunayo.
Na hali watu wachache wenye tamaa wanataka tubaki Maskini huku wao wakijenga magorofa
TUNAKATAA kama Watanzania.
Mungu IBARIKI Tanzania na Rais Magufuli.
Chanzo: The EastAfrican.
Wanyongwe mpaka kufa
 
Wanyongwe mpaka kufa
Badala ya kunyongwa wafungwe maika mingi sana ili liwe fundisho kwa wengine.
Watu wengine HAWAONI juhudi anazozifanya JPM katika kuirejesha nchi katika hali nzuri.
Sijui tuwasaidiaje watu kama hao?
 
Mkuu Chige, asante tena kwa bandiko hili, mimi nililitumia kama mbugu kuoteshea bandiko langu hili
Wataalamu Hawa Wachunguzwe!,Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa Ripoti Kuwa "Tanzania Hatuwezi?!". - JamiiForums

Hizi possibilities za viongozi wetu na maofisa wetu kuwa compromised bado zinaendelea. Nimesoma taarifa ya Ikulu kuhusu majadiliano ya kulipwa zile dola bilioni 191 za Noah zetu, yamemalizika kwa kusamehe deni letu lote na sasa kile kishika uchumba cha US $ milioni 300, ndizo zitakuwa kifuta machozi chetu!.

Naomba kwa sasa tusiseme sana tusubiri kwanza taarifa rasmi, ndipo wa kusema tuseme, yaani toka dollars Billions 191 hadi just 300 millions, just like that?!, There has to be a very good explanation ndipo tuelewe vinginevyo...

P.
Mkuu Pascal usichanganye majina.CHIGE na SHIGE
Bandiko langu hili ni la SHIGE.
Back to your point.
Mimi nafikiri HUENDA tutaelezwa ama tusielezwe maana mengine huenda yakawa si kwa ajili ya PUBLIC CONSUMPTION.
Hata hivyo nimeielewa concern yako sana. Maana naona ungependa nchi IFAIDIKE zaidi. kwa hilo NAKUPONGEZA sana.
.I like that sir!
 
Mkuu Chige, asante tena kwa bandiko hili, mimi nililitumia kama mbugu kuoteshea bandiko langu hili
Wataalamu Hawa Wachunguzwe!,Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa Ripoti Kuwa "Tanzania Hatuwezi?!". - JamiiForums

Hizi possibilities za viongozi wetu na maofisa wetu kuwa compromised bado zinaendelea. Nimesoma taarifa ya Ikulu kuhusu majadiliano ya kulipwa zile dola bilioni 191 za Noah zetu, yamemalizika kwa kusamehe deni letu lote na sasa kile kishika uchumba cha US $ milioni 300, ndizo zitakuwa kifuta machozi chetu!.

Naomba kwa sasa tusiseme sana tusubiri kwanza taarifa rasmi, ndipo wa kusema tuseme, yaani toka dollars Billions 191 hadi just 300 millions, just like that?!, There has to be a very good explanation ndipo tuelewe vinginevyo...

P.
Mkuu Pascal usichanganye majina.CHIGE na SHIGE
Bandiko langu hili ni la SHIGE.
Back to your point.
Mimi nafikiri HUENDA tutaelezwa ama tusielezwe maana mengine huenda yakawa si kwa ajili ya PUBLIC CONSUMPTION.
Hata hivyo nimeielewa concern yako sana. Maana naona ungependa nchi IFAIDIKE zaidi. kwa hilo NAKUPONGEZA sana.
.I like that sir!
 
Watanzania wana mutindo wa kumwachia Kila kitu Mungu. MUNGU anataka tujisaidie na yeye ataongeza musaada. Rais hawezi kwenda bila ya ulinzi Wakati watu aliowagusa wako tayari kufanya Kila kitu ili ashindwe kuiongoza Tanzania. MUNGU atampa NGUVU aendelee bila ya kutizama nyuma kwa niaba ya Watanzania wote hata wanaomuchukia. Na Watanzania wenye kupenda haki kwa wote tuzidi kumuombea Amen
Amina!
 
Back
Top Bottom