Kuna mtu nilibishana nae humu, zile line za viganja ni tofauti
BRO! umeandika gazeti, lakini hamna cha maana hapo, gwajima mwenyewe anajua watanzania wengi ni wapumbavu kwenye upande wa technolojia, unajinadi unajinadi unajua IT lakini sioni kama unajua chochote! kama kweli ulisomea IT basi bado sana?!
iko hivi, unaweza ukawa unajua masuala ya IT lakini usiwe mtaalam wa mambo ya photo/video editing, yule ni gwajima, mimi ni photo/video editor mzoefu ninatengeneza mpaka animation "cartoon"
hakuna kitu kisichowezekana kama kuedit video na kuiwekea kichwa kwenye mwili ambao sio wake na vikamove kwa asilimia mia kama vile, huwez ukaweza kichwa kwenye mwil kama ule halafu midomo ikakikisi vile!, ule mwili na kichwa ni vya mtu kamili aliyerekodiwa hamna edit pale, nipe jina la hyo software mpya ambayo inaweza kufanya yale maajabu.
mtat0mbewa sana wake zenu kwa akili hizo fupi, hamna ushahidi ulionyooka kama wa video maana video ni ngumu kuedit, bora angesema sio yeye kabisa ni mtu mwngne kwenye vdeo lakn asiseme ameeditiwa.
Write your reply...
Zipo tofauti
Ila sasa watu si huwa wanafuata mkumbo
Ikabidi ninyamaze maana hawachelewi kukuita msukule wa Gwajima wakati hata kanisa lake sijui liko wapi
Anaweza pia akawa mmoja wa wale mgambo wa gwajiboy.Wewe ndio mzee wa kanisa au shemas?
At least we nakuelewaMimi ninachoelewa ni kwamba ni kweli kuna mtu/watu wapo nyuma ya hili suala na wamemtega mtumishi wa baba na kwa vile ana tabia mbaya akanasa kiulaini. Mtumishi huyu mimi nilishamshitukia siku nyingi kwamba ni mfanyabiashara kupitia injili. Mtumishi gani wa Mungu anaendekeza bifu na watu. Kuitumia madhabahu kutoa mipasho dhidi ya wabaya wake. Mungu hadhihakiwi hata siku moja. Mtoa posti acha kutetea dhambi. Hatumhukumu mchungaji lakini huo utakatifu unaompatia hana na biblia ipo wazi kwamba tutawatambua kwa matunda yao hao watumishi.
Hiyo clip imesambazwa hivi karibuni, ila haina maana ilirekodiwa hivi karibuni. Hivyo kudai kwamba sasa anatakata kuliko miaka 10 iliyopita sio hoja.
Kwahiyo unapojenga kanisa unavua shati? Kanuni za sight ya ujenzi zinaelekeza kuvua shati na kuwa kichwa wazi. Huu ni uongo wa mchana.
Kama wewe ni IT na umeamini utumbo huo hapo juu basi utakua yale magari yanayosafirishwa kwende nchi jirani. ITTumekuelewa Mkuu ma IT tunaelewa ulicho kizungumza lakini zyumbukuku wengi hawawezi kukuelewa maana hawajui lolote zaidi ya kushabikia
Kama wewe ni IT na umeamini utumbo huo hapo juu basi utakua yale magari yanayosafirishwa kwende nchi jirani. IT