Mapungofu ya hati ya kiapo (affidavit) ya mashtaka ya kikatiba (petition) ya Ado Shaibu

Abeto Malakoti

Senior Member
Feb 7, 2018
122
234
Hati ya kiapo (affidavit) ya mashtaka ya kikatiba (Petition) Ado Shahibu ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii hususani JF, whatsapp, facebook n.k ina mapungufu kadhaa ya kisheria kama ifuatavyo;

Kwanza, hati ya kiapo kisheria ni ushahidi wa maandishi katika kesi za kikatiba, rejea section 12 ya the Basic Rights and Duties Enforcement Act. Haya ya 3 ya hati ya kiapo imeegemea kwenye press release ya katibu mkuu kiongozi, Kijazi kama udhibitisho wa uteuzi wa Dr. Kilangi kuwa mwanasheria mkuu ambapo huu ni udhaifu kwa sababu udhibitisho wa uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali wenye hadhi ya juu wa kiushahidi (high evedential standard) unapatika kwenye gazeti la serikali. Uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali unatangazwa kwenye gazeti la serikali na huu ndo ushahidi wenye hadhi ya juu kisheria na sio press release ya katibu mkuu kiongozi. Hivyo, Ado alipashwa kuambatanisha gazeti la serikali ambalo lilichapisha uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali kama taarifa rasmi ya kisheria kwa umma wa watanzania.

Pili, kwenye Haya ya 14 Ado kwa kutumia maneno "to the best of my personal knowledge" ametoa viashiria vya lazima (necessary implications) kuwa hana uhakika kama Dr. Kilangi aliwahi kufanya kazi serikalini zaidi ya nafasi ya mwenyekiti wa PURA na kusahau kuwa haya maneno ni ushahidi kamili maana yanasemwa chini ya kiapo na pia amesahau kuwa wajibu wa kudhibitisha (onus of proof) swala la kuwa Dr. Kilangi hajawahi fanya kazi serikalini kwa muda wa miaka 15 ni wajibu wake yeye mleta mashtaka (petitioner) mahakamani, he who alleges must prove, kisheria Dr. Kilangi hana wajibu wa kudhibitisha swala hili ni petitioner (Ado) ndo ana wajibu wa kudhibitisha. Hili kurekebisha kosa hili, Ado itabidi afanya maombi ambayo kisheria yanaitwa application for discovery au application for interrogatories.

Tatu, ushahidi wa kudhibitisha Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili ni taarifa alizotoa kwenye website ya Tanganyika Law Society, nyaraka hizi zina thamani ndogo ya kiushahidi (low evedential value). Ado alipashwa kuandika barua kwa Msajiri wa mahakama kuu kuomba na kupatiwa taarifa rasmi za Dr. Kilangi kuhusu Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili, mimi nimewahi kufanya hivi mara kadhaa na kufanikiwa kubatilisha kesi ya wakili ambaye ana leseni ya uwakili (practicing certificate) au kushuhudia kiapo kwa kughushi (backdate) kabla ya kuwa wakili. Taarifa rasmi kutoka kwa msajiri wa mahakama kuu ambaye ni custodian wa taarifa za mawakili ndo ina thamani ya juu ya kiushahidi kuliko taarifa za kuokoteza kutoka kwenye tovuti ya TLS.

Nne, ni makosa ya uchapaji kwenye ukrasa wa mwisho wa hati ya kiapo ambao badala ya kuandika "the president of united republic of Tanzania" ameandika "the president of united renational electoral commission". Haya makosa ya uchapaji ni madogo hayana madhara kisheria, wanasheria wanasema ni curable errors.

Kikupata fursa ya kuona Originating Summons ambayo inasindikizwa na hati ya kiapo ili niweze kuona mapungufu ambayo yako kwenye hiyo Originating Summons, hivyo ninatoa wito kwa comrade Ndugu Ado pia asambaze Originating Summons kwenye mitandao ya kijamii kama JF, whatsapp na facebook tuweze kuisoma na kuikosoa hili kumuepusha na mapingamizi ya awali (preliminary objections) ya wanasheria wa serikali hususani Wakili Mwandamizi Kadushi, mbobezi katika maswala haya ya mapingamizi ya awali.

Ni hayo tu Comrade Ndugu Ado Shaibu
 
Hati ya kiapo (affidavit) ya mashtaka ya kikatiba (Petition) Ado Shahibu ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii hususani JF, whatsapp, facebook n.k ina mapungufu kadhaa ya kisheria kama ifuatavyo;

Kwanza, hati ya kiapo kisheria ni ushahidi wa maandishi katika kesi za kikatiba, rejea section 12 ya the Basic Rights and Duties Enforcement Act. Haya ya 3 ya hati ya kiapo imeegemea kwenye press release ya katibu mkuu kiongozi, Kijazi kama udhibitisho wa uteuzi wa Dr. Kilangi kuwa mwanasheria mkuu ambapo huu ni udhaifu kwa sababu udhibitisho wa uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali wenye hadhi ya juu wa kiushahidi (high evedential standard) unapatika kwenye gazeti la serikali. Uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali unatangazwa kwenye gazeti la serikali na huu ndo ushahidi wenye hadhi ya juu kisheria na sio press release ya katibu mkuu kiongozi. Hivyo, Ado alipashwa kuambatanisha gazeti la serikali ambalo lilichapisha uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali kama taarifa rasmi ya kisheria kwa umma wa watanzania.

Pili, kwenye Haya ya 14 Ado kwa kutumia maneno "to the best of my personal knowledge" ametoa viashiria vya lazima (necessary implications) kuwa hana uhakika kama Dr. Kilangi aliwahi kufanya kazi serikalini zaidi ya nafasi ya mwenyekiti wa PURA na kusahau kuwa haya maneno ni ushahidi kamili maana yanasemwa chini ya kiapo na pia amesahau kuwa wajibu wa kudhibitisha (onus of proof) swala la kuwa Dr. Kilangi hajawahi fanya kazi serikalini kwa muda wa miaka 15 ni wajibu wake yeye mleta mashtaka (petitioner) mahakamani, he who alleges must prove, kisheria Dr. Kilangi hana wajibu wa kudhibitisha swala hili ni petitioner (Ado) ndo ana wajibu wa kudhibitisha. Hili kurekebisha kosa hili, Ado itabidi afanya maombi ambayo kisheria yanaitwa application for discovery au application for interrogatories.

Tatu, ushahidi wa kudhibitisha Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili ni taarifa alizotoa kwenye website ya Tanganyika Law Society, nyaraka hizi zina thamani ndogo ya kiushahidi (low evedential value). Ado alipashwa kuandika barua kwa Msajiri wa mahakama kuu kuomba na kupatiwa taarifa rasmi za Dr. Kilangi kuhusu Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili, mimi nimewahi kufanya hivi mara kadhaa na kufanikiwa kubatilisha kesi ya wakili ambaye ana leseni ya uwakili (practicing certificate) au kushuhudia kiapo kwa kughushi (backdate) kabla ya kuwa wakili. Taarifa rasmi kutoka kwa msajiri wa mahakama kuu ambaye ni custodian wa taarifa za mawakili ndo ina thamani ya juu ya kiushahidi kuliko taarifa za kuokoteza kutoka kwenye tovuti ya TLS.

Nne, ni makosa ya uchapaji kwenye ukrasa wa mwisho wa hati ya kiapo ambao badala ya kuandika "the president of united republic of Tanzania" ameandika "the president of united renational electoral commission". Haya makosa ya uchapaji ni madogo hayana madhara kisheria, wanasheria wanasema ni curable errors.

Kikupata fursa ya kuona Originating Summons ambayo inasindikizwa na hati ya kiapo ili niweze kuona mapungufu ambayo yako kwenye hiyo Originating Summons, hivyo ninatoa wito kwa comrade Ndugu Ado pia asambaze Originating Summons kwenye mitandao ya kijamii kama JF, whatsapp na facebook tuweze kuisoma na kuikosoa hili kumuepusha na mapingamizi ya awali (preliminary objections) ya wanasheria wa serikali hususani Wakili Mwandamizi Kadushi, mbobezi katika maswala haya ya mapingamizi ya awali.

Ni hayo tu Comrade Ndugu Ado Shaibu
Haya=Aya
Maswala=Masuala
Udhibitisho=Uthibitisho
 
Mmeshaanza kutafuta kutupiliwa mbali!!!! Kwanini msisubiri mshindane kwa hoja tuwanue jamani? Kwani sheria inadanganya? Acheni kung'ang'ania kutupiliwa mbali.
 
Hati ya kiapo (affidavit) ya mashtaka ya kikatiba (Petition) Ado Shahibu ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii hususani JF, whatsapp, facebook n.k ina mapungufu kadhaa ya kisheria kama ifuatavyo;

Kwanza, hati ya kiapo kisheria ni ushahidi wa maandishi katika kesi za kikatiba, rejea section 12 ya the Basic Rights and Duties Enforcement Act. Haya ya 3 ya hati ya kiapo imeegemea kwenye press release ya katibu mkuu kiongozi, Kijazi kama udhibitisho wa uteuzi wa Dr. Kilangi kuwa mwanasheria mkuu ambapo huu ni udhaifu kwa sababu udhibitisho wa uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali wenye hadhi ya juu wa kiushahidi (high evedential standard) unapatika kwenye gazeti la serikali. Uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali unatangazwa kwenye gazeti la serikali na huu ndo ushahidi wenye hadhi ya juu kisheria na sio press release ya katibu mkuu kiongozi. Hivyo, Ado alipashwa kuambatanisha gazeti la serikali ambalo lilichapisha uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali kama taarifa rasmi ya kisheria kwa umma wa watanzania.

Pili, kwenye Haya ya 14 Ado kwa kutumia maneno "to the best of my personal knowledge" ametoa viashiria vya lazima (necessary implications) kuwa hana uhakika kama Dr. Kilangi aliwahi kufanya kazi serikalini zaidi ya nafasi ya mwenyekiti wa PURA na kusahau kuwa haya maneno ni ushahidi kamili maana yanasemwa chini ya kiapo na pia amesahau kuwa wajibu wa kudhibitisha (onus of proof) swala la kuwa Dr. Kilangi hajawahi fanya kazi serikalini kwa muda wa miaka 15 ni wajibu wake yeye mleta mashtaka (petitioner) mahakamani, he who alleges must prove, kisheria Dr. Kilangi hana wajibu wa kudhibitisha swala hili ni petitioner (Ado) ndo ana wajibu wa kudhibitisha. Hili kurekebisha kosa hili, Ado itabidi afanya maombi ambayo kisheria yanaitwa application for discovery au application for interrogatories.

Tatu, ushahidi wa kudhibitisha Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili ni taarifa alizotoa kwenye website ya Tanganyika Law Society, nyaraka hizi zina thamani ndogo ya kiushahidi (low evedential value). Ado alipashwa kuandika barua kwa Msajiri wa mahakama kuu kuomba na kupatiwa taarifa rasmi za Dr. Kilangi kuhusu Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili, mimi nimewahi kufanya hivi mara kadhaa na kufanikiwa kubatilisha kesi ya wakili ambaye ana leseni ya uwakili (practicing certificate) au kushuhudia kiapo kwa kughushi (backdate) kabla ya kuwa wakili. Taarifa rasmi kutoka kwa msajiri wa mahakama kuu ambaye ni custodian wa taarifa za mawakili ndo ina thamani ya juu ya kiushahidi kuliko taarifa za kuokoteza kutoka kwenye tovuti ya TLS.

Nne, ni makosa ya uchapaji kwenye ukrasa wa mwisho wa hati ya kiapo ambao badala ya kuandika "the president of united republic of Tanzania" ameandika "the president of united renational electoral commission". Haya makosa ya uchapaji ni madogo hayana madhara kisheria, wanasheria wanasema ni curable errors.

Kikupata fursa ya kuona Originating Summons ambayo inasindikizwa na hati ya kiapo ili niweze kuona mapungufu ambayo yako kwenye hiyo Originating Summons, hivyo ninatoa wito kwa comrade Ndugu Ado pia asambaze Originating Summons kwenye mitandao ya kijamii kama JF, whatsapp na facebook tuweze kuisoma na kuikosoa hili kumuepusha na mapingamizi ya awali (preliminary objections) ya wanasheria wa serikali hususani Wakili Mwandamizi Kadushi, mbobezi katika maswala haya ya mapingamizi ya awali.

Ni hayo tu Comrade Ndugu Ado Shaibu
Elimu yako ninafananisha na msemaji wa ccm bro cprian majura musiba a.k.a mzee wa kujipendekeza na mahakama ni ya kila mtu!! ,eti dar mpya watoto wa mjini walichekaaaaa!!!?
 
Mbona una haraka kama unajisaidia nje?, eti mapungofu mara haya (aya). Halafu ukute nawe wajiita wakili msomi, disgrace

Umekuwa too harsh bila sababu....

Spelling problem ktk uandishi ndiyo unam - term mtoa maoni as a "disgrace " kweli? Au una ugomvi binafsi na ndugu huyu?

Ulichofanya ni "personality attack" dhidi ya mleta mada.

Well. Mwisho wa siku wewe maoni yako ni nini hasa?
 
Elimu yako ninafananisha na msemaji wa ccm bro cprian majura musiba a.k.a mzee wa kujipendekeza na mahakama ni ya kila mtu!! ,eti dar mpya watoto wa mjini walichekaaaaa!!!?

Nafikiri bado haujaelewa, kwenye tasnia ya sheria, mtu anayetaka kukuua au kukufanyia kitu kibaya huwa anakaa kimya unapokosea na anasubiri wakati muafaka anakuteketeza vibaya mno. Mimi ninamshutua Ado kuona mapungufu ambayo yako kwenye hati ya kiapo hili afanye maombi ya kufanya mabadiliko (amendment) kwa jaji husika.
 
Nafikiri bado haujaelewa, kwenye tasnia ya sheria, mtu anayetaka kukuua au kukufanyia kitu kibaya huwa anakaa kimya unapokosea na anasubiri wakati muafaka anakuteketeza vibaya mno. Mimi ninamshutua Ado kuona mapungufu ambayo yako kwenye hati ya kiapo hili afanye maombi ya kufanya mabadiliko (amendment) kwa jaji husika.

Brethren unapoteza muda kujibu kila comment. Watu wengi huku JF ni mazezeta na hawajui hata wanaloliandika. Many of them are bitter political wannabees, tyring to be relevant- and most of them are from the other side of the isle. So wewe soma na furahi tu wanachokiandika, kiwe matusi au point.
 
Ni ushauri by the way. Ado na wataalam mliobobea kwenye sheria fanyieni kazi ss mapopoma tuliobaki tutafute mapambio mengine ya kusifu yale ya stigglers yamebuma EU wametuharibia
 
Hati ya kiapo (affidavit) ya mashtaka ya kikatiba (Petition) Ado Shahibu ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii hususani JF, whatsapp, facebook n.k ina mapungufu kadhaa ya kisheria kama ifuatavyo;

Kwanza, hati ya kiapo kisheria ni ushahidi wa maandishi katika kesi za kikatiba, rejea section 12 ya the Basic Rights and Duties Enforcement Act. Haya ya 3 ya hati ya kiapo imeegemea kwenye press release ya katibu mkuu kiongozi, Kijazi kama udhibitisho wa uteuzi wa Dr. Kilangi kuwa mwanasheria mkuu ambapo huu ni udhaifu kwa sababu udhibitisho wa uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali wenye hadhi ya juu wa kiushahidi (high evedential standard) unapatika kwenye gazeti la serikali. Uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali unatangazwa kwenye gazeti la serikali na huu ndo ushahidi wenye hadhi ya juu kisheria na sio press release ya katibu mkuu kiongozi. Hivyo, Ado alipashwa kuambatanisha gazeti la serikali ambalo lilichapisha uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali kama taarifa rasmi ya kisheria kwa umma wa watanzania.

Pili, kwenye Haya ya 14 Ado kwa kutumia maneno "to the best of my personal knowledge" ametoa viashiria vya lazima (necessary implications) kuwa hana uhakika kama Dr. Kilangi aliwahi kufanya kazi serikalini zaidi ya nafasi ya mwenyekiti wa PURA na kusahau kuwa haya maneno ni ushahidi kamili maana yanasemwa chini ya kiapo na pia amesahau kuwa wajibu wa kudhibitisha (onus of proof) swala la kuwa Dr. Kilangi hajawahi fanya kazi serikalini kwa muda wa miaka 15 ni wajibu wake yeye mleta mashtaka (petitioner) mahakamani, he who alleges must prove, kisheria Dr. Kilangi hana wajibu wa kudhibitisha swala hili ni petitioner (Ado) ndo ana wajibu wa kudhibitisha. Hili kurekebisha kosa hili, Ado itabidi afanya maombi ambayo kisheria yanaitwa application for discovery au application for interrogatories.

Tatu, ushahidi wa kudhibitisha Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili ni taarifa alizotoa kwenye website ya Tanganyika Law Society, nyaraka hizi zina thamani ndogo ya kiushahidi (low evedential value). Ado alipashwa kuandika barua kwa Msajiri wa mahakama kuu kuomba na kupatiwa taarifa rasmi za Dr. Kilangi kuhusu Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili, mimi nimewahi kufanya hivi mara kadhaa na kufanikiwa kubatilisha kesi ya wakili ambaye ana leseni ya uwakili (practicing certificate) au kushuhudia kiapo kwa kughushi (backdate) kabla ya kuwa wakili. Taarifa rasmi kutoka kwa msajiri wa mahakama kuu ambaye ni custodian wa taarifa za mawakili ndo ina thamani ya juu ya kiushahidi kuliko taarifa za kuokoteza kutoka kwenye tovuti ya TLS.

Nne, ni makosa ya uchapaji kwenye ukrasa wa mwisho wa hati ya kiapo ambao badala ya kuandika "the president of united republic of Tanzania" ameandika "the president of united renational electoral commission". Haya makosa ya uchapaji ni madogo hayana madhara kisheria, wanasheria wanasema ni curable errors.

Kikupata fursa ya kuona Originating Summons ambayo inasindikizwa na hati ya kiapo ili niweze kuona mapungufu ambayo yako kwenye hiyo Originating Summons, hivyo ninatoa wito kwa comrade Ndugu Ado pia asambaze Originating Summons kwenye mitandao ya kijamii kama JF, whatsapp na facebook tuweze kuisoma na kuikosoa hili kumuepusha na mapingamizi ya awali (preliminary objections) ya wanasheria wa serikali hususani Wakili Mwandamizi Kadushi, mbobezi katika maswala haya ya mapingamizi ya awali.

Ni hayo tu Comrade Ndugu Ado Shaibu
Well noted...
Thanx
 
Ni ushauri by the way. Ado na wataalam mliobobea kwenye sheria fanyieni kazi ss mapopoma tuliobaki tutafute mapambio mengine ya kusifu yale ya stigglers yamebuma EU wametuharibia
Hebu fafanua kidogo hapo kwenye EU tafdhali naomba!
 
Hati ya kiapo (affidavit) ya mashtaka ya kikatiba (Petition) Ado Shahibu ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii hususani JF, whatsapp, facebook n.k ina mapungufu kadhaa ya kisheria kama ifuatavyo;

Kwanza, hati ya kiapo kisheria ni ushahidi wa maandishi katika kesi za kikatiba, rejea section 12 ya the Basic Rights and Duties Enforcement Act. Haya ya 3 ya hati ya kiapo imeegemea kwenye press release ya katibu mkuu kiongozi, Kijazi kama udhibitisho wa uteuzi wa Dr. Kilangi kuwa mwanasheria mkuu ambapo huu ni udhaifu kwa sababu udhibitisho wa uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali wenye hadhi ya juu wa kiushahidi (high evedential standard) unapatika kwenye gazeti la serikali. Uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali unatangazwa kwenye gazeti la serikali na huu ndo ushahidi wenye hadhi ya juu kisheria na sio press release ya katibu mkuu kiongozi. Hivyo, Ado alipashwa kuambatanisha gazeti la serikali ambalo lilichapisha uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali kama taarifa rasmi ya kisheria kwa umma wa watanzania.

Pili, kwenye Haya ya 14 Ado kwa kutumia maneno "to the best of my personal knowledge" ametoa viashiria vya lazima (necessary implications) kuwa hana uhakika kama Dr. Kilangi aliwahi kufanya kazi serikalini zaidi ya nafasi ya mwenyekiti wa PURA na kusahau kuwa haya maneno ni ushahidi kamili maana yanasemwa chini ya kiapo na pia amesahau kuwa wajibu wa kudhibitisha (onus of proof) swala la kuwa Dr. Kilangi hajawahi fanya kazi serikalini kwa muda wa miaka 15 ni wajibu wake yeye mleta mashtaka (petitioner) mahakamani, he who alleges must prove, kisheria Dr. Kilangi hana wajibu wa kudhibitisha swala hili ni petitioner (Ado) ndo ana wajibu wa kudhibitisha. Hili kurekebisha kosa hili, Ado itabidi afanya maombi ambayo kisheria yanaitwa application for discovery au application for interrogatories.

Tatu, ushahidi wa kudhibitisha Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili ni taarifa alizotoa kwenye website ya Tanganyika Law Society, nyaraka hizi zina thamani ndogo ya kiushahidi (low evedential value). Ado alipashwa kuandika barua kwa Msajiri wa mahakama kuu kuomba na kupatiwa taarifa rasmi za Dr. Kilangi kuhusu Roll Number na tarehe ya Dr. Kilangi kupata uwakili, mimi nimewahi kufanya hivi mara kadhaa na kufanikiwa kubatilisha kesi ya wakili ambaye ana leseni ya uwakili (practicing certificate) au kushuhudia kiapo kwa kughushi (backdate) kabla ya kuwa wakili. Taarifa rasmi kutoka kwa msajiri wa mahakama kuu ambaye ni custodian wa taarifa za mawakili ndo ina thamani ya juu ya kiushahidi kuliko taarifa za kuokoteza kutoka kwenye tovuti ya TLS.

Nne, ni makosa ya uchapaji kwenye ukrasa wa mwisho wa hati ya kiapo ambao badala ya kuandika "the president of united republic of Tanzania" ameandika "the president of united renational electoral commission". Haya makosa ya uchapaji ni madogo hayana madhara kisheria, wanasheria wanasema ni curable errors.

Kikupata fursa ya kuona Originating Summons ambayo inasindikizwa na hati ya kiapo ili niweze kuona mapungufu ambayo yako kwenye hiyo Originating Summons, hivyo ninatoa wito kwa comrade Ndugu Ado pia asambaze Originating Summons kwenye mitandao ya kijamii kama JF, whatsapp na facebook tuweze kuisoma na kuikosoa hili kumuepusha na mapingamizi ya awali (preliminary objections) ya wanasheria wa serikali hususani Wakili Mwandamizi Kadushi, mbobezi katika maswala haya ya mapingamizi ya awali.

Ni hayo tu Comrade Ndugu Ado Shaibu
Kuna kitu inaitwa review, atafanya hiyo
 
Back
Top Bottom