Tumeona wataalamu wa kiwango cha uprofesa wanavyo jivika ujinga kwa kutosimamia taaluma yao,mfano shivji.
hivi profesa anaweza kuongea kwa kukiuka alichokisema au kuandika ktk vitabu vyao au majarida .
Tuwaombe maprofesa waadilifu muanze kuwapinga waziwazi hawa maprofesa tumbo ili taaluma hii isianze kudharauliwa na wananchi.mtakapo tembea barabarani tutawatema mate kwa ajili hao wachache.
hivi profesa anaweza kuongea kwa kukiuka alichokisema au kuandika ktk vitabu vyao au majarida .
Tuwaombe maprofesa waadilifu muanze kuwapinga waziwazi hawa maprofesa tumbo ili taaluma hii isianze kudharauliwa na wananchi.mtakapo tembea barabarani tutawatema mate kwa ajili hao wachache.