Maprofea waachane na siasa

Maprofea waachane na siasa

Read between the lines, the afore mentioned aren't Tanzanian Profs (and by the way not all of who you mentioned are Profs, not professionally/leave apart the Honorary ones).
Kwa nchi kama marekani ukiwa mwalimu wa chuo kikuu automatically wewe ni faculty professor. Tanzania ni scale kwa walimu wa chuo. Unaanza kama lecturer unapanda weee hadi uufikie uprofessor. Ukweli in that system unajikuta umetengwa na dunia ya kawaida and thats why wanaprove failure wakija uraiani kushika nafasi za kisiasa
 
Imedhihilika maprofessor wote walioingia katika siasa wameprove failure,tukianza na kapuya,salungi,muongo na tibaijuka ifikie hatua sasa hata professor akiteuliwa kushika bafac ya kiuongozi kisiasa akatae ili tu kulibda heshima yake na ya professional yake.ni mtazamo tu,usichangie kwa chuki
Ukimuondoa Kapuya kwenye siasa za ccm utampeleka wapi?
 
Sio maprofesa tu, kwa mfumo wa serikali uliopo na uadilifu wa mashaka wa baadhi ya viongozi ndani ya CCM na jinsi ya viongozi walio wengi wanavyopata uongozi kwa kutumia rushwa ni vigumu kupata viongozi wasafi! In short ni rahisi mtu msafi kujiingiza kwenye vitendo vya ufisadi akishajiunga kwenye siasa za CCM na serikali kwa sababu kubwa moja. Viongozi wengi wasio waadilifu ndani CCM au serikalini wanaamini kwa kusupport chama tawala, tayari unakuwa juu ya kanuni, taratibu na sheria za nchi na vyombo vyake kama polisi, usalama wa taifa au TRA. So huu ulevi uwafumba macho, masikio na pua. Hii humfanya kiongozi yoyote bila kujali kiwango chake cha elimu kufanya vitendo vya kifisadi akiwa ndani ya ofisi za umma. Bado mchakato wa katiba mpya unaendelea, hivyo sisi kama watanzania bila kujali itikadi za vyama vyetu vya kisiasa na makundi mengine ya kijamii kuhakikisha katiba inaweka misingi thabiti ya uwajibikaji kwa viongozi wa umma. Hii ni pamoja kueleza kwa uwazi na uthibiti miiko na maadili ya viongozi wa umma.

Nadhani tatizo kubwa ni pale ambapo Profesa anapo pewa wizara halafu anakuta walio chini yake wote elimu yao ni ndogo. Profesa ana-tend kuamini kuwa wale watendaji wake kwa elimu zao ndogo hawawezi kumshauri kitu. Jambo ambalo ni kosa kubwa. Ni pale tu profesa akijishusha na kuamini kuwa akiwapa nafasi walio chini yake kama technical persons wake hufanikiwa kiuongozi.
 
Back
Top Bottom