i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
Hi wanajamii mimi nina hoja nataka kuwakilisha kuhusu kumap miji yetu ya Tanzania nataka kuwawashirikisha wale wote wanaoweza kujitolea mda wao kuweka sehemu kwenye ramani ya tanzania ambayo ipo online kwenye internet. Kumap tunatumia google service ambayo ni bure na mtu yeyote anaweza map ilimradi tuu awe na google gmail account. Unaenda tuu kwenye mapmaker au unaweza ukagoogle mapmaker. kwenye mapmaker una add to mahali ambapo unapajua kwenye ramani kama ni jengo, hoteli, barabara hata nyumba unaweza wekea boundaries na ukaweka na plot number kama jina ili tuu ramani yetu yaa online na siye iweze kuonyesha vitu. tumeunda kikundi kwenye google + unaweza ukatu add na ukapata hapata habari zaidi kama tukiwa tunakutana siku kwenye kumap kama kikundi kupeana tips na changamoto. Wenye kutaka ufafanuzi zaidi ni PM