X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,605
- 1,843
Mkuu wa kikosi cha Jeshi la Wananchi (JWTZ) kabla ya kumpokea mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano alimwambia askari wa kupiga mizinga: Askari, akiwasili mheshimiwa Rais piga mizinga 21ya mapokezi.
Askari: Afande mheshimiwa nitafanya ulivyonituma, lakini nauliza kitu kimoja? kwa mfano mheshimiwa Rais akifa kwa mzinga wa kwanza niendelee kumrushia mizinga iliyobaki 20?
Askari: Afande mheshimiwa nitafanya ulivyonituma, lakini nauliza kitu kimoja? kwa mfano mheshimiwa Rais akifa kwa mzinga wa kwanza niendelee kumrushia mizinga iliyobaki 20?