Mapokezi ya Rais

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,809
Mkuu wa kikosi cha Jeshi la Wananchi (JWTZ) kabla ya kumpokea mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano alimwambia askari wa kupiga mizinga: Askari, akiwasili mheshimiwa Rais piga mizinga 21ya mapokezi.

Askari: Afande mheshimiwa nitafanya ulivyonituma, lakini nauliza kitu kimoja? kwa mfano mheshimiwa Rais akifa kwa mzinga wa kwanza niendelee kumrushia mizinga iliyobaki 20?
 
Back
Top Bottom