Jaribu kukadiria ni kiasi gani huyu MC atakuwa amelipwa, kama ulifuatilia Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Tunduru Mkoa wa Ruvuma utaona huyu jamaa ndo alikuwa MC
Ingekuwa vyema pia akiweuka akili kidogo kwa kupambania Maslahi ya nchi yake na siyo kupamba mtu anayesimamia kuporomoka kwa nchi nakushupaza shingo kutosikiliza vilio vya wananchi
Soma pia GE2025 - Haya ni mapenzi kwa CCM au kujidhalilisha?
----------------
Maafisa usafirishaji wampokea Dkt. Samia Suluhu Hassan Ndanda na kumsindikiza kwenye mkutano wa kampeni kwa mbwembwe na shangwe la aina yake
Ingekuwa vyema pia akiweuka akili kidogo kwa kupambania Maslahi ya nchi yake na siyo kupamba mtu anayesimamia kuporomoka kwa nchi nakushupaza shingo kutosikiliza vilio vya wananchi
Soma pia GE2025 - Haya ni mapenzi kwa CCM au kujidhalilisha?
----------------
Maafisa usafirishaji wampokea Dkt. Samia Suluhu Hassan Ndanda na kumsindikiza kwenye mkutano wa kampeni kwa mbwembwe na shangwe la aina yake