GE2025 Mapokezi ya mgombea mwenza wa Urais CCM, Mbogwe

GE2025 Mapokezi ya mgombea mwenza wa Urais CCM, Mbogwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
1,059
Reaction score
1,133
MAPOKEZI YA MGOMBEA MWENZA MBOGWE

Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel Nchimbi akiteta jambo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko mara baada ya kuwasili katika Viwanja vya Shule ya Msingi Masumbwe, Wilayani Mbogwe Mkoa wa Geita leo Septemba 5, 2025.
 

Attachments

  • IMG-20250905-WA0355.jpg
    IMG-20250905-WA0355.jpg
    366.8 KB · Views: 11
  • IMG-20250905-WA0356.jpg
    IMG-20250905-WA0356.jpg
    538.9 KB · Views: 14
Back
Top Bottom