GE2025 Mapokezi ya Mgombea mwenza urais CCM Balozi Emmanuel Nchimbi Longido- Arusha

GE2025 Mapokezi ya Mgombea mwenza urais CCM Balozi Emmanuel Nchimbi Longido- Arusha

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amepokewa kwa kishindo alipowasili kwenye uwanja wa Polisi,Longido kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi kwenye mkutano wa kampeni leo Ijumaa Septemba 12,2025

Mara baada ya kuwasili ,Balozi Nchimbi alikaribishwa kwa kuvalishwa vazi la heshima kutoka kwa viongozi wakuu wa kimila wa Kabila la Kimasai (Malaigwanani)
 
Hizi nyuzi za maccm, ziondolewe humu!
Haya maccm yamefungia hii forum halafu yanamletea nyuzi nani humu?
Kama Kibib idd Amin lusuhu ndio umeletewa uzione, ondoka haraka tutakupa za chembe...
 
Back
Top Bottom