mgombea kashaonekana wa kawaida sasa hamna tena comment nyingi . tangu nione hii post mpaka sasa kuna comment 58 tu zaman ingekua 1358 na picha za kutosha
Nikweli, ni mabadiliko ya kumuweka Mla Rushwa Madarakani na kumuacha Mwadilifu, Mchapakazi na Mwaminifu!!
wanachi wakimsubiri Lowassa airport sumbawanga
kwani ruvuma kamaliza?
Mkutano unafanyika takribani 5km toka mjini. Watu wanaokwenda, hasa kwa miguu ni wengi sana, wengi wao ni vijana wa kiume. Dr. Magufuli alifanyia katikati ya mji - uwanja wa Mandela ila hakupata hata kama hii. Watu wanaokwenda ni wengi kana kwamba wanakwenda kupewa msaada. Nipo miongoni wao.
picha tafadhali
Dr. Alinitoa kwenye mood jana kumbe duuuh makamanda wako imara
hajaenda tunduru na namtumbo[/QUOTE
Mnamtakia mema kweli! Hivi anauwezo wa kufika Tunduru? Kwa taarifa yako kaenda Songea akasimama Madaba kidogo hapo kamaliza ziara ya mkoa wa Ruvuma. Unataka fananisha na tingatinga, acha utani
Mi sidhani hata kama kuna sababu ya lowasa kufanya kampeni
Haina haja asubirie tu aapishwe maana kila mtu anajua lowasa ndio raisi Wa awamu ijayo
wanasubiri wafanye edit ndo watume picha