Nina laptop laki mbili unusu
Wadau wa UKAWA s'wanga.
Mtujuze kwa picha tafadhari mapokezi ya mleta mabadiliko kamanda Edward na timu yake hapo mazwi, mjini Swanga. tunasubiri kwa hamu, mumthibitishie Dr. kuwa haturudi nyuma kwa safari iyoanza tayari!
Baada ya ngonjera za jana za dr slaa,, leo mji wa sumbawanga utatikisika ambapo lowasa anatarajia kuingia katika viwanja vya shule ya msingi ndua muda wwte kuanzia sasa
Halafu mbona kampeni za Lowasa nawaona CCM wenzake tu akina Sumaye, Masha, na Mgeja? Wenye chama wako wapi? mmepigwa changa la macho hakika.
Mji umezizima mbaya!!! Naamibi uwanja wa Mandela usingetosha. Najiandaa kwenda kwenye mkutano. Dr. Magufuli alipokuja haukuzizima hivi.
Wadau wa UKAWA s'wanga.
Mtujuze kwa picha tafadhari mapokezi ya mleta mabadiliko kamanda Edward na timu yake hapo mazwi, mjini Swanga. tunasubiri kwa hamu, mumthibitishie Dr. kuwa haturudi nyuma kwa safari iyoanza tayari!
Halafu mbona kampeni za Lowasa nawaona CCM wenzake tu akina Sumaye, Masha, na Mgeja? Wenye chama wako wapi? mmepigwa changa la macho hakika.
Mkutano unafanyika takribani 5km toka mjini. Watu wanaokwenda, hasa kwa miguu ni wengi sana, wengi wao ni vijana wa kiume. Dr. Magufuli alifanyia katikati ya mji - uwanja wa Mandela ila hakupata hata kama hii. Watu wanaokwenda ni wengi kana kwamba wanakwenda kupewa msaada. Nipo miongoni wao.
Watu washafika bei.