Mapokezi ya Kheri James yatikisa Mwanza

Mapokezi ya Kheri James yatikisa Mwanza

wandamba

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
510
Reaction score
839
Mapokezi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndugu KHERI JAMES na Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa, Tabia Mwita katika Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza

[HASHTAG]#TukutaneKazini[/HASHTAG]
IMG-20180102-WA0182.jpg
IMG-20180102-WA0183.jpg
 
Wanaacha shughuli zao za kuwaingizia kipato kwenda kuwaangalia watu wasiokuwa na msaada wowote kwao na watanzania kwa ujumla.
Anyway kila mtu atakula alipochanga.
 
Ndo yupi hapo....mi simjuii....wana ccm nionesheni
 
Mwanza ipi iliyotikisika ? mi nipo mwanza ila sina taarifa hii
 
Afrika shida sana, hapo wote wanaimba kale kawimbo ka "it is our time to eat"!
 
Back
Top Bottom