Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,443
- 36,664
Mbowe ageuka mbongo kuitwa,Mbowe kalamba asali 😀
We mpumbavu ebu niambie ni lini corona iliisha.
Mkt ana tatizo Gani,
Watu waache kwenda kulima waje wamsikilize DJ
View attachment 2490120
Waanze kufungasha MAJIMBONI
Kweli kabisaaUsiongee upuuzi mbuzi wa kijani wewe. Baba yako dikteta magufuli alibaka uchaguzi mwaka 2020 kwa kutumia dola lakini leo hii analiwa na mchwa .
Tanzania ina idadi zaidi wa 60m na waliochajanja haikufika ata 2m mbona kelele zimeisha za korona ,ebu niambie nyie na yule aliyesema mpige nyungu nani ni mqundu kama sio nyie ambao mpaka sasa mnafata matakwa yake yakuishi na korona na kuuzoea kama magonjwa mengine na mambo yanaendelea kama kawa,rais wako alishaachana na barakoa mwaka wa pili sasa, oneni na aibu kenge nyie.Corona ipo mpaka kesho kutwa alichotakiwa kufanya yule mpumbavu dikteta uchwara ni ku take measures huwenda tungeokoa vifo vya watu wengi sana akiwemo na yeye ila kwa upungwani wake/wenu mkawambia watanzania wapige nyungu.
Nilikuwa jijini Mwanza jana. Siamini kama usemacho ni kweli.Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mwanza, Kwamba Mapokezi ya Mwamba Mwenyewe, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe yametikisa Mwanza kwa kishindo kikuu, kiasi cha kusimamisha shughuli za watu kwa dakika 90.
Hii ni hatari mno! Ikumbukwe kwamba safari ya ile kesi ya uongo ya Ugaidi aliyobambikiwa Mbowe, ilianzia Mwanza, bado wananchi wa Mwanza wanayo kumbukumbu ya jambo lile lililofedhehesha Nchi yetu Duniani, jambo lile ndilo linatajwa kama chachu ya Mapokezi haya ya kihistoria jijini Mwanza.
Wadau wanafananisha mapokezi ya leo ya Mbowe huko Mwanza na Mapokezi ya Nelson Mandela aliyoyapata DSM miaka ya mwanzo ya 90, baada ya kutoka Jela ya Makaburu na kupokelewa na Mwl Nyerere.
Kama mambo ndio yako hivi, hatujui hadi kufika 2025 hali itakuwaje.
Mungu ibariki CHADEMA.
wewe ni mbishi ?Nilikuwa jijini Mwanza jana. Siamini kama usemacho ni kweli.
Tumia akiliNilikuwa jijini Mwanza jana. Siamini kama usemacho ni kweli.
Hapana. Mimi ni realist and I believe in Realism.wewe ni mbishi ?
Hakuna kitu kama hicho. Kawadanganye wasiokuwepo MwanzaHii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mwanza, Kwamba Mapokezi ya Mwamba Mwenyewe, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe yametikisa Mwanza kwa kishindo kikuu, kiasi cha kusimamisha shughuli za watu kwa dakika 90.
Hii ni hatari mno! Ikumbukwe kwamba safari ya ile kesi ya uongo ya Ugaidi aliyobambikiwa Mbowe, ilianzia Mwanza, bado wananchi wa Mwanza wanayo kumbukumbu ya jambo lile lililofedhehesha Nchi yetu Duniani, jambo lile ndilo linatajwa kama chachu ya Mapokezi haya ya kihistoria jijini Mwanza.
Wadau wanafananisha mapokezi ya leo ya Mbowe huko Mwanza na Mapokezi ya Nelson Mandela aliyoyapata DSM miaka ya mwanzo ya 90, baada ya kutoka Jela ya Makaburu na kupokelewa na Mwl Nyerere.
Kama mambo ndio yako hivi, hatujui hadi kufika 2025 hali itakuwaje.
Mungu ibariki CHADEMA.