Mapokezi ya David Silinde ni ushahidi CHADEMA mlifanya makosa

Mapokezi ya David Silinde ni ushahidi CHADEMA mlifanya makosa

magode

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2014
Posts
2,204
Reaction score
3,338
Nimeona mapokezi makubwa sana ya David Silinde mbunge wa CHADEMA, nimeridhika kabisa CHADEMA walifanya makosa makubwa sana kujiunga na UKAWA. Kama mkutano wa mbunge unazidi mapokezi ya mgombea urais wa CCM ni wazi CHADEMA ilikuwa imejijenga na haikuwa na sababu ya kujiunga na chama kingine.

Check hapa mafuriko ya wananchi ambao hata hawajabebwa..!
attachment.php

attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • 1436948330932.jpg
    1436948330932.jpg
    30.9 KB · Views: 54,731
  • 1436948380068.jpg
    1436948380068.jpg
    43.9 KB · Views: 54,119
  • 1436948407636.jpg
    1436948407636.jpg
    42.5 KB · Views: 30,169
Nimeona mapokezi makubwa sana ya David silinde mbunge wa chadema,nimeridhika kabisa chadema walifanya makosa makubwa sana kujiunga na ukawa. Km mkutano wa mbunge unazidi mapokezi ya mgombea urais wa ccm ni wazi chadema ilikuwa imejijenga na haikuwa na sababu ya kujiunga na chama kingine.

Check hapa mafuriko ya wananchi ambao hata hawajabebwa..!

Peoples Power!
 
Nimeona mapokezi makubwa sana ya David silinde mbunge wa chadema,nimeridhika kabisa chadema walifanya makosa makubwa sana kujiunga na ukawa. Km mkutano wa mbunge unazidi mapokezi ya mgombea urais wa ccm ni wazi chadema ilikuwa imejijenga na haikuwa na sababu ya kujiunga na chama kingine.

Check hapa mafuriko ya wananchi ambao hata hawajabebwa..!

Nina mashaka na dhamira yako kutuletea huu uzi hapa jamvini!...UMOJA NI NGUVU......
 
Nahisi we ni shabiki wa ccm wajiondoe UKAWA ili iweje,we unadhani Hapo ni mashabiki wa chadema tu,Hapo niwanamageuzi jumlisha bendera fuata upepo upo.
 
Lazima mjifariji chadema,ukawa,kwanini mliamua kujiunga ili muitoe ccm madarakani?,ccm ikisimama yenyewe
 
Back
Top Bottom